Kwenye jimbo na mtaa wa ZZK karibu kila baada ya nyumba tatu kuna bendera ya ADC (Mwandiga-Kigoma kaskazini).
Jimbo la 'rais'?Kwenye jimbo na mtaa wa ZZK karibu kila baada ya nyumba tatu kuna bendera ya ADC (Mwandiga-Kigoma kaskazini).
dada nimeipenda hii lakini source please, pia angalia ZZK anatumiwa na magamba angalia tusije tukakuokotea mabwepande wakiwa wameshakuCATRATE apo mbele
Hivi hii ADC iko mkoa gani,mbona sijawahi hata kuona ofisi yake?wala kusikia watu wakiiongelea?ni chama au SACOS fulani?
Mkutano wa ADC sasa wanatumia alama ya V katika mikutano yao.
Pia bendera yao ni kama ya CDM
Nikweli nilikuwa kigoma bendela kibao
ADC ni mtoto aliyepatikana kwenye ndoa ya CCM na CUF.Amekuja kuvuruga M4C.
kama ilivyo kwa cdm aliepatikana kwa ndoa kati ya kanisa na uchaga