mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Jamani hivi ADC,CCK,CUF,NCCR na CHAUMMA, viko wapi na wanachama wake wako wapi?
manaake hapa jamvini kutwa mzima ni habari za Chadema na ccm....chakushangaza zaidi
hata wale wanaojinasibu kuwa ni wafuasi wa vyama hivyo nao kutwa mzima ni kuchangia
Thread zinazohusu Chadema na ccm hapa jamvini. Sasa kama kutwa mzima muko hapa ku
coment thread za Chadema na ccm, hivyo vyama vyenu vitasikika na kujulikana lini masiki
oni na machoni mwa wananchi? Hivi hamna kitu chochote cha kutuelezea kuhusiana na hi
vyo vyama vyenu? Hivi kwa mwendo huo wa kutwa mzima kushinda kwenye Thread za Ch
adema na ccm, bado mnafikiri siku moja mtaishika na kuiovateki Chadema?
Muongozo tafadhari
manaake hapa jamvini kutwa mzima ni habari za Chadema na ccm....chakushangaza zaidi
hata wale wanaojinasibu kuwa ni wafuasi wa vyama hivyo nao kutwa mzima ni kuchangia
Thread zinazohusu Chadema na ccm hapa jamvini. Sasa kama kutwa mzima muko hapa ku
coment thread za Chadema na ccm, hivyo vyama vyenu vitasikika na kujulikana lini masiki
oni na machoni mwa wananchi? Hivi hamna kitu chochote cha kutuelezea kuhusiana na hi
vyo vyama vyenu? Hivi kwa mwendo huo wa kutwa mzima kushinda kwenye Thread za Ch
adema na ccm, bado mnafikiri siku moja mtaishika na kuiovateki Chadema?
Muongozo tafadhari