rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wakuu naomba mnisamehe sana kwenye hili,
sina imani kabisa na huyu jamaa Adamu malima,leo asubuhi nilifungua TBC nilipomwona anaongea nilipata mashaka mengi sana,hivi kweli alipewa unaibu waziri kwa vigezo vipi?uwezo wake ukoje?je elimu yake ikoje?kama ndio viongozi tunaotegemea watutoe hapa tulipo huyu ataweza?hivi kabla hawajapewa hizi kazi kuna interview yoyote ile kuonyesha uwezo wa mtu?nina mashaka mno!
sina imani kabisa na huyu jamaa Adamu malima,leo asubuhi nilifungua TBC nilipomwona anaongea nilipata mashaka mengi sana,hivi kweli alipewa unaibu waziri kwa vigezo vipi?uwezo wake ukoje?je elimu yake ikoje?kama ndio viongozi tunaotegemea watutoe hapa tulipo huyu ataweza?hivi kabla hawajapewa hizi kazi kuna interview yoyote ile kuonyesha uwezo wa mtu?nina mashaka mno!