PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Jioni hii Adam Malima ameharibu kabisa ufunguzi rasmi wa shindano la Maisha Plus baada ya kutaja wazi eneo kilipo kijiji cha Maisha Plus kuwa ni Bagamoyo na kwamba si mbali kutoka Unguja...,.,gooosh!
Wasemaji wengine wote waliotangulia walikwepa kabisa kusema eneo hilo, nadhani hii ikiwa ni maelekezo ya waandaaji.
Ameshituka baada ya kugundua kosa, lakini ilikuwa too late.
Kwangu mimi amenipunguzia utamu wa zoezi hilo, ambapo huwa ni pamoja na anonimity ya mahala wanapokuwa.
Ufunguzi unaonyeshwa Live na TBC1.
Wasemaji wengine wote waliotangulia walikwepa kabisa kusema eneo hilo, nadhani hii ikiwa ni maelekezo ya waandaaji.
Ameshituka baada ya kugundua kosa, lakini ilikuwa too late.
Kwangu mimi amenipunguzia utamu wa zoezi hilo, ambapo huwa ni pamoja na anonimity ya mahala wanapokuwa.
Ufunguzi unaonyeshwa Live na TBC1.