gbrother JF-Expert Member Mar 22, 2011 408 51 Aug 4, 2012 #1 Ndugu zangu hivi ili nchi iwe mwanachama wa un, eac, sadc uwa inatozwa ada ya uanachama? Na je ni kiasi gani kwa anayejua tafadhari.
Ndugu zangu hivi ili nchi iwe mwanachama wa un, eac, sadc uwa inatozwa ada ya uanachama? Na je ni kiasi gani kwa anayejua tafadhari.
Adharusi JF-Expert Member Jan 22, 2012 14,402 7,308 Aug 4, 2012 #2 Watafika sasa hivi...watupe vitu,,,alafu kipindi cha Gadafi kuna nchi zilikua zinalipiwa ada ya uanachama AU 'vox populi, vox dei"
Watafika sasa hivi...watupe vitu,,,alafu kipindi cha Gadafi kuna nchi zilikua zinalipiwa ada ya uanachama AU 'vox populi, vox dei"