endesha
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,109
- 1,452
Zito hawezi kubali,kwanza anataka kugombea urais hilo halina ubishi na akija UKAWA hawatamkubalia kugombea.so lazima jamaa akae pembeni.
Zito hawezi kubali,kwanza anataka kugombea urais hilo halina ubishi na akija UKAWA hawatamkubalia kugombea.so lazima jamaa akae pembeni.
Hayo matusi yamewaumiza Wanzazibari kweli kweli.Na hili ndio litamfanya magufuli aonekane hana tofauti na watawala wenzake waliotangulia wao ni chama kwanza nchi baadae, na kwa ulafi wao wa madaraka eti fyoko fyoko loh.
Lazima liume mkuu, mtu huwezi kuambiwa maamuzi yako mtu mzima above 18 yrs ni fyokofyoko, tena unaambiwa ulimwengu mzima uje. Ndio maana watu huwa wana amua kujilipua tu.Hayo matusi yamewaumiza Wanzazibari kweli kweli.