Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
hivi huyo mokira kwanini hakutangulizwa mbele za haki?? aaarrrggg! tumezidi upole sijui ndio uzalendo??
Tatizo ni watu wa Dar. Ingelikuwa huku makwetu leo watu wangekuwa wanaimba "Simbaliii Karibuuu tutafika na sisi hukooo"