Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Huyu jamaa alitajwa kama mshiriki mkuu wa wahalifu majambazi na wauwaji kule morogoro alipotokea.worse enough aliyemtaja ni askari mwenzie ila kwa kuabudu kale kamfumo ka kulindana RPC adolphina Chialo akamkamata mtoa siri na kumpeleka Mirembe wakidai ni punguani.Madaktari wamethibitisha yule askari ni mzima lkini IGP amekalia taarifa hizi na Msangi ni Mkuu wa upelelezi kanda mlum ya Dar akichukua nafasi ya Mkumbo aliyepata demotion baada ya kuumbuliwa na DR Regnald Mengi kutaka kumbambikia mwanae madawa ya kulevya
What a shame!!
What a shame!!