BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Kidogo nichizike nikasema ngoja nilete barazani kwa wapwa ili apate kunielewa zaidi
Umeeleweka vizuri shosti usijali...wikend njema
Kidogo nichizike nikasema ngoja nilete barazani kwa wapwa ili apate kunielewa zaidi
ndugu yangu leo haka katoto kameniweza kweli
huwa nina vivespa viwili leo vyote vimegoma kuwaka, sijui ntamalizaje wikendi aisee
ndugu yangu leo haka katoto kameniweza kweli
huwa nina vivespa viwili leo vyote vimegoma kuwaka, sijui ntamalizaje wikendi aisee
walaanatuka walaanakumHahahahaha Vespa zote zimegoma kuwaka itabidi uchukue TOYO
you are always in my mind dogo... rest assuredKidogo nichizike nikasema ngoja nilete barazani kwa wapwa ili apate kunielewa zaidi
Komredi vibomba kama hivi ndo napo mkumbuka Pundit na mpwa Blueray
Ya Mramba na Yona inaendelea mkuu... nashukuru hekima za NN na Kaizer wamemtuliza JS wetuafadhali bana upumzike si unajua kesi zisizoisha zinavokuwa unaweza ishia na viduara mtoto usoni
Pole lakini kaka Acid...nimeshindwa kuvumilia mdogo wako.....hehehehe hebu kanijibu ile PM yangu basi
Sasa mkulu, ngoja jioni "jopo" likae na wewe manake hii ni very serious...The finest hatakuwepo ila wengine wote wakulu wa hapa...Asprin, Teamo, MJ1, GY, Kimey, st RR na wakubwa wengine tutakaa tujadili hili tukupe na mbinu mbadala za kuovercome hii
halafu katiba ya ISC itabidi tukupe hard copy, maana kusoma soft copy unaoverlook. vyengine,,
NN atashiriki huu mkutano via Video conference,,,,,ial itabidi atangaze kabisa kama kuna conflict of interest
hi ni balah aisee on this very friday!
aiseee