Kweli kabisa, hii Tume ilimbeba sana Nyani Ngabu pamoja na malalamiko yote yaliyoelekezwa kwake....
Sasa, Acid kwanza HONGERA MKUU WANGU.
Lakini nategemea utaje lokesheni tutakapokutana ili kuiangamiuza ghafla hiyo 50K!...usiitumie kununua mboga za watoto ndugu yangu watu wameikodolea macho sana!
Mambo ya Ivory coast washindi wawili sio????
ufisadi kila kona khaaa
Ninani wa bara nani wavisiwani?au wote ni Jamhuri ya watu wa JF?wakati anatafutwa man of the year au wote wakiwa wawili ndo anakuwa amefikisha vigezo vyakuwa Man??nawsiwasi na huyo kilavu wa Jf!!
mbona Woman of the year hajatangazwa?
Laaaaa umerudi? karibu tena JF. Bila shaka kwa kashikashi zako wewe ndiye ungebeba nafasi ya kwanza.Thi is BS..... i hate NN for shoo ila dadake nimechukua......