Kuna watu kweli wafukunyuzi
na wapenda makuu, mmesha kaa miaka miwili mnatafuta uamuzi wa kuchukua
kwa issue ilofanyika nyumba kabla hata ya kufunga ndoa?
Ladies wake up!! Unapokuwa ni mke au mchumba haina maana upo peke yako,
ina maana tu kuwa wewe ndio una qualify kuwa nae katika kila hatua ya
maisha... wa kushare LAZIMA wapo. Ni rare unapokuwa kweli uko peke yako.
Njema inaoa kesho usiku wake kalala na mwanamke... Inaboa ila hio ndio
ukweli whether you like it or not.
mapadre wenyewe na wachungaji watu tunashare, budget imepanda bora na kipato cha sadaka kitusaidie, itakuwa huyo kondoo! dada kwa kifupi hakuna chako peke yako, ukijenga hiyo dhana utaishi maisha ya bila stress, kama unataka wako peke yako finyanga uweke ndani ebo!Yeye anataka wa kwake peke yake??atamtoa wapi??
kuna mdada mmoja yeye aliolewa miaka miwili niliyopita akaja kugundua mume wake alikuwa na mahusiano wakati wako katika uchumba na mpaka siku chache za harusi alikuwa bado wanawasiliana,je afanyaje?