Achtecture -vs- building economics

duuh umenivunja moyo kaka yangu na kwetu hali yetu sio nzuri duuuh,!

mkuu TZ boy usikatishwe tamaa na mtu yeyote, ilianza shule ya msingi eti sekondari kugumu ajabu umemaliza, hata chuo ndo hivyo hivyo tu.
 
Last edited by a moderator:
asante sana mkuu,i ca now see some light at the end of the tunnel

sikia serio kuhusu soko zote zina soko but kuhusu ipi ni zaidi juhudi zako ndo zitaamua but jua architecture co 2 koz ya mda mrefu but also inahitaji ujuzi ubunifu na mambo mengi kazawakaza so u got 2 b ready 4 wat your up agaist
 
architecture duh!, mwakipesile, lwemayanga, mosha mabangi, loh! jaza architecture mkuu ukakeshe na studio, mwaka wetu tulianza 54 tulimaliza 29 thou wengi walikimbia wenyewe, walio'disco ni watatu tu na wengine kurudia mwaka.
kibongobongo ukiwa kwenu mambo safi basi architecture utaisoma kwa raha zaidi.

hahahahahaaha.. Mkuu umenivunja mbavu na kunikumbusha mbali saanna kwa kweli,,, mwakipesile alinipa tabu sana yule mzee,, kusketch mwaka wa kwanza juani,, dah,, it was really tough,,, uligraduate mwaka gani mkuu?? Inawezekana we r classmates, hatujuani
 
JAMANI Naombeni MAELEZO KIDOGO KUHUSU HII KI2, KUJIAJIRI INAKUAJE NA UNAHUTAJI MTAJI MKUBWA SAANA AU HATA KWA MTOTO WA MKULIMA KAMA MIMI NAWEZA JIAJIRI?? SAMAHANI KWA USUMBUFU
 
sikia serio kuhusu soko zote zina soko but kuhusu ipi ni zaidi juhudi zako ndo zitaamua but jua architecture co 2 koz ya mda mrefu but also inahitaji ujuzi ubunifu na mambo mengi kazawakaza so u got 2 b ready 4 wat your up agaist
yeah, thank you.... am doing building economics now...!!!
 
Architect reccomendend kwangu ujue sekta ya ujenzi bado changa sana kwetu. Ila yataka moyo kidogo miaka mitano chuo siuogope maisha taratibu na ndoto itatimia na utakuwa na uwezo wa kuajiriwa na kujiari mwenyewe

nililpata building economics, niko 2nd year and thats what I have devoted myself to..thanks.
 
Hii hge anasoma hii building economics....let me go for it

acha kufuata mkumbo,utaumia.building economics ni ngumu sana kwa mtu wa hge,nina rafiki yangu nae alikua na kiherehere kama wewe akaichagua wakati amesoma hge,kilichomtokea ni siri yake,imebidi aahirishe mwaka.
 
acha kufuata mkumbo,utaumia.building economics ni ngumu sana kwa mtu wa hge,nina rafiki yangu nae alikua na kiherehere kama wewe akaichagua wakati amesoma hge,kilichomtokea ni siri yake,imebidi aahirishe mwaka.

Haya mambo yanaenda na kujituma pia...kupambana ndo kila kitu mi naamini halafu ukianza kumlinganisha rafiki yako na mm utakuwa unakosea....binadamu tunatofautiana understanding capacity so usinivunje moyo pleeeaase
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom