Dotworld
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,035
- 3,773
Inawezekana wapo wa tabia hiyo humu,waache.Respect your parent's house.
Vipi DERICK2000 hivi unamkumbuka yule beibe wako anaekupa raha sana na unaemuona kama mama mzazi jinsi anavyokupa direction za maisha, mfano na yeye akikuambia uende kwao na akikuambia ufanye kama huyo demu si utafanya tu!
Kongosho .... huyu sijui kama tayari kakua maana nna wasiwasi yule beibe wake akimwamrisha na yeye anaweza kufanya kama huyu anaemlaumu hapaNaona umekua sasa!
.
Last edited by a moderator: