Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
Mara nyingi CCM imetutesa toka ujana wetu acha CHADEMA waseme,
hawaipendi CHADEMA na kuipaka matope, lakini hawaiwezi,
CCM, imekula mgonngoni mwetu na wamejitarisha sana
na kujilimbikizia mali, acha CHADEMA wawe wakombozi wetu sasa,
CCM, waaibishwe na kurudishwa nyuma pamoja na wale wote
wanaoichukia CHADEMA,
Na wawe kama majani ya darini yakaukayo kabla hayajamea,
na wasiokumbukwe kamwe hata wajapopotea kwenye uso wa siasa,
hawaipendi CHADEMA na kuipaka matope, lakini hawaiwezi,
CCM, imekula mgonngoni mwetu na wamejitarisha sana
na kujilimbikizia mali, acha CHADEMA wawe wakombozi wetu sasa,
CCM, waaibishwe na kurudishwa nyuma pamoja na wale wote
wanaoichukia CHADEMA,
Na wawe kama majani ya darini yakaukayo kabla hayajamea,
na wasiokumbukwe kamwe hata wajapopotea kwenye uso wa siasa,