Accountant

Katabazi

JF-Expert Member
Feb 18, 2007
353
19
Part time Accountant needed: Salary-250,000/month max.,transactions-maximum 100Million/Month,must be Computer literate/ should be able to prepare P/L account books ready for TRA. We are VAT exempted. Can be based in DSM or Iringa,should be ready to start by May. If interested send your CV to rakeyescarl@yahoo.ie/ We will reply to all- successful and unsuccessful candidates.
 
You are living us in a limbo,which currency is the 250,000/=salary. is it US$,Zim$,KShs,UShs etc,etc
 
100m (US$ or TZS) volume of transactions per month na mshahara ni TZS/US$ 250,000?? unaweza kuiweka sawa sawa? lakini kama ni TZS 250,000 p/m basi mwambie aliyekutuma anaidhalilisha taaluma ya watu.

Lakini ni part time job siyo mbaya! utapata wahasibu wenye njaa labda! anzia TZS500,000/ upate watu qualified!
 
Part time Accountant needed: Salary-250,000/month max.,transactions-maximum 100Million/Month,must be Computer literate/ should be able to prepare P/L account books ready for TRA. We are VAT exempted. Can be based in DSM or Iringa,should be ready to start by May. If interested send your CV to rakeyescarl@yahoo.ie/ We will reply to all- successful and unsuccessful candidates.

Du! 250,000/-pm!..Lazima huyo accountant awe fisadi kucheza na transactions.
Is the salary negotiable?
 
Guys I am sorry
1.thinking hii ni globu ya wanajamii,I took it for granted. Anyway ni Tanzanias shillings zote
2.Kinyamana/BelindaJacob-duuuh mnanimaliza,mnisamehe but that is what I can afford for now for a PART TIMER.Jamani kwa kuwa mimi nina njaa na mimi natafuta accountants wenye njaa(250,000Tshs/month) after all sihitaji wenye ma CPA au ma degree jamani,sasa kuzifanyia kwa labda saa 5/wiki na labda ikawa weekend ni kidogo,lakini ni kidogo kiasi hicho?Mbona mnataka kunifanya niendelee kuchengana na TRA?
 
Part time Accountant needed: Salary-250,000/month max.,transactions-maximum 100Million/Month,must be Computer literate/ should be able to prepare P/L account books ready for TRA. We are VAT exempted. Can be based in DSM or Iringa,should be ready to start by May. If interested send your CV to rakeyescarl@yahoo.ie/ We will reply to all- successful and unsuccessful candidates.

kama ni mimi nakubali hizo Tsh 250,000.00 kinachobaki nikucheza na number tu kujilipa zaidi ya Tshs10,000,000.00 kama transaction kwa mwezi ni Tshs 100,000,000.00, 10% inakuwa naweka mfukoni.
 
Guys I am sorry
1.thinking hii ni globu ya wanajamii,I took it for granted. Anyway ni Tanzanias shillings zote
2.Kinyamana/BelindaJacob-duuuh mnanimaliza,mnisamehe but that is what I can afford for now for a PART TIMER.Jamani kwa kuwa mimi nina njaa na mimi natafuta accountants wenye njaa(250,000Tshs/month) after all sihitaji wenye ma CPA au ma degree jamani,sasa kuzifanyia kwa labda saa 5/wiki na labda ikawa weekend ni kidogo,lakini ni kidogo kiasi hicho?Mbona mnataka kunifanya niendelee kuchengana na TRA?

Mkuu,hapo nimekuelewa so unahitaji Book-keeper kama sikosei. Ungeandika vizuri maelezo kabla ya ya watu kutathmini kidogo hiyo salary na professional ya Accountant isingekuwa big deal.
Ila hakijaaharibika kitu ni marekebisho tu kidogo, mafanikio mema katika zoezi zima la uajiri.
 
Shy email address pekee haitoshi?Siwezi kuweka jina la kampuni kabla ya kurekebisha mambo ya wazee wa kazi.
Mukubwa&BelindaJacob -Asante sana then nahitaji Book-keper au Accountant clerk,dooh si ndio mana nikashangaa watu wanashtuka 250K TZshs/month?
Kokolo itabidi ufanye kazi ya ziada.
 
Kama kazi yenyewe ni Part time nafikiri huo mshahara unatosha
 
Watanzania bana...sijui kwanini mchawi wetu alituachia akili za kuvuka barabara tu..

Mtu kaweka nafasi ya kazi. Katoa details za mshahara, aina ya employment (Part Time), na sehemu ya kazi (Dar au Iringa). Lakini kwa sababu zisizo za msingi watu mnabeza "oh sijui kwa mshahara huo utawapata wahasibu wenye njaa. oh sijui kwa mshahara huo, lazima mhasibu acheze na transaction. Oh sijui blah blah blah."

Kwa nini lakini? Mbona tuko hivi? Yaani badala ya watu kudadisi kuhusu job functions ya hiyo position (kabla ya kushambulia kiwango cha mshahara), mnakejeli. Yaani kusoma neno "Accountant" tayari mmehusisha na "heavy duty" procedures. Au ni hiyo term P/L na volume ya 100m ndio imewafanya mfikirie kuwa ni lazima itakuwa kazi ya kutoa jasho kwelikweli? Ni vipi ikiwa kazi ya journal entry/data entry (yes kazi nyingi za journal entry wanazipa title ya accountant) au Accounts Receivable/Payable job, bado mtataka mlipwe nusu milioni kwa mwezi?

Halafu mwingine anaomba afafanuliwe kama mshahara uko kwenye currency ya $, Tshs, Kshs or other. Yaani nini kimekufanya ufikirie kuwa hiyo namba inaweza kuwa kwenye currency nyingine zaidi ya Tshs? Je ni Accountant, P/L, or 100m, TRA, VAT or Computer literate???

Tuache hizi tabia za kukimbilia kuzodoa. Zinabomoa. Swali la msingi la kumuuliza aliyepost hiyo kazi ni kuorodhesha job functions kwanza. Then tutajadili kutoka hapo (kama ikibidi).
 
Part time Accountant needed: Salary-250,000/month max.,transactions-maximum 100Million/Month,must be Computer literate/ should be able to prepare P/L account books ready for TRA. We are VAT exempted. Can be based in DSM or Iringa,should be ready to start by May. If interested send your CV to rakeyescarl@yahoo.ie/ We will reply to all- successful and unsuccessful candidates.

Huwezi kupata Mhasibu kwa mshahara huo, labda kama wewe ni muhasibu na unatafuta Mhasibu msaidizi ambaye atakuwa amesoma kufikia ngazi ya Cheti.

Swali, Hii salary ni Take home au ndio Gross???
 
Du that is where ufusadi comes in, 250,000 how can afford rent, food and other necessary needs. Ndugu yangu pitia upya hiyo salary
 
Watanzania bana...sijui kwanini mchawi wetu alituachia akili za kuvuka barabara tu..

Mtu kaweka nafasi ya kazi. Katoa details za mshahara, aina ya employment (Part Time), na sehemu ya kazi (Dar au Iringa). Lakini kwa sababu zisizo za msingi watu mnabeza "oh sijui kwa mshahara huo utawapata wahasibu wenye njaa. oh sijui kwa mshahara huo, lazima mhasibu acheze na transaction. Oh sijui blah blah blah."

Kwa nini lakini? Mbona tuko hivi? Yaani badala ya watu kudadisi kuhusu job functions ya hiyo position (kabla ya kushambulia kiwango cha mshahara), mnakejeli. Yaani kusoma neno "Accountant" tayari mmehusisha na "heavy duty" procedures. Au ni hiyo term P/L na volume ya 100m ndio imewafanya mfikirie kuwa ni lazima itakuwa kazi ya kutoa jasho kwelikweli? Ni vipi ikiwa kazi ya journal entry/data entry (yes kazi nyingi za journal entry wanazipa title ya accountant) au Accounts Receivable/Payable job, bado mtataka mlipwe nusu milioni kwa mwezi?

Halafu mwingine anaomba afafanuliwe kama mshahara uko kwenye currency ya $, Tshs, Kshs or other. Yaani nini kimekufanya ufikirie kuwa hiyo namba inaweza kuwa kwenye currency nyingine zaidi ya Tshs? Je ni Accountant, P/L, or 100m, TRA, VAT or Computer literate???

Tuache hizi tabia za kukimbilia kuzodoa. Zinabomoa. Swali la msingi la kumuuliza aliyepost hiyo kazi ni kuorodhesha job functions kwanza. Then tutajadili kutoka hapo (kama ikibidi).


Ndugu angalia hizo transaction per month na compansetion anayopata huyu mshikaji kuna tofauti kubwa sana hapa kiasi kwamba unaweza kumshawishi mtu kucheza rafu.

Ndo haya Dr slaa anayapigia kelele kila siku.
 
Watanzania bana...sijui kwanini mchawi wetu alituachia akili za kuvuka barabara tu..

Mtu kaweka nafasi ya kazi. Katoa details za mshahara, aina ya employment (Part Time), na sehemu ya kazi (Dar au Iringa). Lakini kwa sababu zisizo za msingi watu mnabeza "oh sijui kwa mshahara huo utawapata wahasibu wenye njaa. oh sijui kwa mshahara huo, lazima mhasibu acheze na transaction. Oh sijui blah blah blah."

Kwa nini lakini? Mbona tuko hivi? Yaani badala ya watu kudadisi kuhusu job functions ya hiyo position (kabla ya kushambulia kiwango cha mshahara), mnakejeli. Yaani kusoma neno "Accountant" tayari mmehusisha na "heavy duty" procedures. Au ni hiyo term P/L na volume ya 100m ndio imewafanya mfikirie kuwa ni lazima itakuwa kazi ya kutoa jasho kwelikweli? Ni vipi ikiwa kazi ya journal entry/data entry (yes kazi nyingi za journal entry wanazipa title ya accountant) au Accounts Receivable/Payable job, bado mtataka mlipwe nusu milioni kwa mwezi?

Halafu mwingine anaomba afafanuliwe kama mshahara uko kwenye currency ya $, Tshs, Kshs or other. Yaani nini kimekufanya ufikirie kuwa hiyo namba inaweza kuwa kwenye currency nyingine zaidi ya Tshs? Je ni Accountant, P/L, or 100m, TRA, VAT or Computer literate???

Tuache hizi tabia za kukimbilia kuzodoa. Zinabomoa. Swali la msingi la kumuuliza aliyepost hiyo kazi ni kuorodhesha job functions kwanza. Then tutajadili kutoka hapo (kama ikibidi).

Mkuu umenena, ajira ni maelewano, na Katabazi kaonyesha njia.
Accountant qualified mimi vile vile nahitaji, mtu nitumie message na simu yako nitakupigia.
 
Wadau nawashukuru wote waliojitokeza. Nimewapata watu 2.
Nimewalipa zaidi ya tulizotangaza kwa sababu wameonyesha utashi wa kazi na la ajabu mmoja wao ni Accountant haswa na ANA KITAMBI-aaaahaaaaaa!
La kusikitisha waliokuwa wanaponda hapa huku wananitumia PM,waswahili viboko kweli kweli. Ila nawashukuru ma Professional Accountant na wenye ujuzi walionielimisha.
Asante Belo,Lole,Bill,The farmer na wengine wote.Tutaendelea kumsaidia Mh.JK kuongeza ajira-hivyo hivyo kwa ugumu,tutagawana kilichopo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom