Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 38
''a scientific thread'' kwenye jukwaa la siasa!.....
nimeamini MAZOEA YANA TABU
si lazima uchangie au utoe comment kama hauna.
Tatizo lako Mwanakijiji uko kama viongozi wa Tanzania mnataka kusikia yale mnayotaka, mkisikia tofauti mnajibaraguza, hiyo nayo ni comment pia.