Accidents at Kibaha: A Scientific Reason?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,475
39,991
Can somebody articulate why it seems there is some kind of a pattern or a logical explanation of why some of the most grisly accidents have happened in or near Kibaha for many many years now? Is there any scientific reason for these occurrences that our rulers have overlooked?

Kwa sababu siamini kama ni wingi wa magari au ufinyu wa barabara tu unaweza kuelezea ajali hizi. Kuna kitu kinasababisha na nina uhakika siyo cha kishirikiana lazima kuna sababu ya kisayansi ya matukio haya.

Tembeleeni tovuti ya "Bobo" ina picha za ajali mbalimbali za vyombo vya usafiri hasa Bongo.. na mnaweza kupata picha ya jinsi gani kuna mahali kuna tatizo ambalo linaweza kuelezeka kisayansi na kutatulika kwa kiasi kikubwa kisayansi.
 
Na eneo lilelile, jana hiyo hiyo, malori mawili yakagongana uso kwa uso... Kwa bahati hakuna vifo vilivyoripotiwa zaidi ya majeruhi wanne
 
''a scientific thread'' kwenye jukwaa la siasa!.....

nimeamini MAZOEA YANA TABU
 
Na eneo lilelile, jana hiyo hiyo, malori mawili yakagongana uso kwa uso... Kwa bahati hakuna vifo vilivyoripotiwa zaidi ya majeruhi wanne

Kuna haja ya kukaa na wazee wa eneo hilo na kusikia maoni yao ya 'kisayansi' lakini kwa kuongezea bado hiyo barabara imekaa kijima jima na haifanani kama 'route 76' au bara bara inayoongoza kwa kukuza uchumi wa Tanzania.
 
Can somebody articulate why it seems there is some kind of a pattern or a logical explanation of why some of the most grisly accidents have happened in or near Kibaha for many many years now? Is there any scientific reason for these occurrences that our rulers have overlooked?

Kwa sababu siamini kama ni wingi wa magari au ufinyu wa barabara tu unaweza kuelezea ajali hizi. Kuna kitu kinasababisha na nina uhakika siyo cha kishirikiana lazima kuna sababu ya kisayansi ya matukio haya.

Asilimia kubwa ya ajali zinasababishwa na ovateki mahali pasipostahili, madereva wengi wanaovateki mahali popote iwe kwenye mlima, kona kali nk...Ajali ya jana ilisababishwa na lori lilikuwa linaovateki likakutana na ile hiace.
 
Kuna haja ya kukaa na wazee wa eneo hilo na kusikia maoni yao ya 'kisayansi' lakini kwa kuongezea bado hiyo barabara imekaa kijima jima na haifanani kama 'route 76' au bara bara inayoongoza kwa kukuza uchumi wa Tanzania.
Mkuu pamoja na kukaa na wazee, naamini bado kuwa barabara hii ni FINYU sana na bajeti ingetengwa ili barabara hii ipanuliwe kuanzia Chalinze! Hapo tutapunguza vifo vingi sana.

Nairobi wameweza kwa kiwango kikubwa kupanua barabara zinazoingia katikati ya Jiji, na mpaka sasa wanaendelea na upanuzi huo, sisi tunashindwa nini? Ni nini priorities za serikali yetu?

Kinachosikitisha, wanaendelea na ujenzi wa vibarabara finyu, na hivi vinatuingiza gharama pia tena kwa kubamizwa bei za kifisadi na makampuni yanayojenga vibarabara hivi uchwara!
 
Ukichunguza utakuta mabasi yanayopata ajali maeneo ya kutoka Chalinze kuja mpaka Kibaha ni ya le yanayokuwa yametoka safari za mbbali kama Zambia, Mbeya, Mwanza, Arusha na Moshi. Ajali nyingine zinazotokea Kutoka Kibaha kuja mpaka Kimara na Ubungo ni yale yanayotokea kama Morogoro, Iringa na Tanga.

Madereva wanaotoka safari za mbali wanaanza kujiamini kuwa wamefika Dar wakifika Chalinze na kuishiwa au kupunguza umakini na wale wanaotoka safari za karibu wanapungukiwa na umakini wakipita Maili moja na kujiona wamefika.

Pia madereva wanaoondoka Dar es salaam wanakengeuka kuliacha jiji wanapofika Kimara na kuanza kufikiria safari iliyoko mbele yao na kukosa umakini wa kudhibiti magari..
 
Asilimia kubwa ya ajali zinasababishwa na ovateki mahali pasipostahili, madereva wengi wanaovateki mahali popote iwe kwenye mlima, kona kali nk...Ajali ya jana ilisababishwa na lori lilikuwa linaovateki likakutana na ile hiace.

sehemu nyingi Tanzania magari yanapishana, milimani, mabondeni, kwenye kona n.k lakini hakuna mahali panapovutia ajali zaidi kama Kibaha why?
 
Kuna haja ya kukaa na wazee wa eneo hilo na kusikia maoni yao ya 'kisayansi' lakini kwa kuongezea bado hiyo barabara imekaa kijima jima na haifanani kama 'route 76' au bara bara inayoongoza kwa kukuza uchumi wa Tanzania.

Bila shaka ukiwafata wazee lazima watasema tumepuuza matambiko ya zamani na si lolote
Rehema za mungu zitunusuru
 
Ukichunguza utakuta mabasi yanayopata ajali maeneo ya kutoka Chalinze kuja mpaka Kibaha ni ya le yanayokuwa yametoka safari za mbbali kama Zambia, Mbeya, Mwanza, Arusha na Moshi. Ajali nyingine zinazotokea Kutoka Kibaha kuja mpaka Kimara na Ubungo ni yale yanayotokea kama Morogoro, Iringa na Tanga.

Madereva wanaotoka safari za mbali wanaanza kujiamini kuwa wamefika Dar wakifika Chalinze na kuishiwa au kupunguza umakini na wale wanaotoka safari za karibu wanapungukiwa na umakini wakipita Maili moja na kujiona wamefika.

Pia madereva wanaoondoka Dar es salaam wanakengeuka kuliacha jiji wanapofika Kimara na kuanza kufikiria safari iliyoko mbele yao na kukosa umakini wa kudhibiti magari..


Yote hayo unayosema yanaweza kuwa ni kweli.. lakini hayajibu kwanini ni Kibaha? Kwanini ajali hizi zisitokee Kimara au eneo lolote kabla ya kufika Kibaha?
 
Ukichunguza utakuta mabasi yanayopata ajali maeneo ya kutoka Chalinze kuja mpaka Kibaha ni ya le yanayokuwa yametoka safari za mbbali kama Zambia, Mbeya, Mwanza, Arusha na Moshi. Ajali nyingine zinazotokea Kutoka Kibaha kuja mpaka Kimara na Ubungo ni yale yanayotokea kama Morogoro, Iringa na Tanga.

Madereva wanaotoka safari za mbali wanaanza kujiamini kuwa wamefika Dar wakifika Chalinze na kuishiwa au kupunguza umakini na wale wanaotoka safari za karibu wanapungukiwa na umakini wakipita Maili moja na kujiona wamefika.

Pia madereva wanaoondoka Dar es salaam wanakengeuka kuliacha jiji wanapofika Kimara na kuanza kufikiria safari iliyoko mbele yao na kukosa umakini wa kudhibiti magari..

sehemu nyingi Tanzania magari yanapishana, milimani, mabondeni, kwenye kona n.k lakini hakuna mahali panapovutia ajali zaidi kama Kibaha why?

Swali zuri!hapo ni utaalamu zaidi.ngoja nione majibu ''ya kisiasa''
 
Yote hayo unayosema yanaweza kuwa ni kweli.. lakini hayajibu kwanini ni Kibaha? Kwanini ajali hizi zisitokee Kimara au eneo lolote kabla ya kufika Kibaha?

Tungepata picha ya hilo eneo ingetusaidia kujadili swali hili kisayansi zaidi
 
Tungepata picha ya hilo eneo ingetusaidia kujadili swali hili kisayansi zaidi

Mwalimu nadhani ni sahihi mawazo yako ..wataalam itabidi waliangalie vyema eneo hilo walipoipitisha hiyo barabara na kuamua nini kifanyike
Hii si kawaida hata kidogo
 
Mzee Mwanakijiji,

Kama unahitaji majibu ya kisayansi inamaana kwamba hiyo ni changamoto inayochochea utafiti. Bila ya kufanya utafiti swala lako ni batili. Unapozungumzia wingi jaribu kutupatia takwimu ili tuweze kwenda sambamba.

Kwa maoni yangu kulingana na uzoefu, mtu unapoanza safari kutokea Dar, ukishapita Mbezi unahisi ya kwamba sasa njia haina msongamano, ni muda wa kuanza kuharakisha safari.

Vile vile kwa kutokea mikoani, ukifika Kibaha unaanza kufikiri kuhusu ile kero ya pale Ubungo Makutano. Nawe basi unashawishika kukaza buti ili uweze kuwahi.

Tena basi isitoshe njia yote tokea bara unakuta kunakuwa na wale jamaa wa tochi lakini baada ya mizani hutegemei kukuta tochi. HABARI NDIO HIYO.

Nawasilisha.
 
Can somebody articulate why it seems there is some kind of a pattern or a logical explanation of why some of the most grisly accidents have happened in or near Kibaha for many many years now? Is there any scientific reason for these occurrences that our rulers have overlooked?

Kwa sababu siamini kama ni wingi wa magari au ufinyu wa barabara tu unaweza kuelezea ajali hizi. Kuna kitu kinasababisha na nina uhakika siyo cha kishirikiana lazima kuna sababu ya kisayansi ya matukio haya.
Kama tatizo ni la kisayansi, watu muafaka wa kutuambia nini kinaendelea wangekuwa ni wale wataalamu wa barabara wa Kitivo cha uhandisi UDSM,ingawa siku hizi wanajiita chuo kikuu kishiriki.

Bahati mbaya wataalamu hawa mara nyingi wamekuwa kama hawapo. Hawatoi msaada wa kitaalamu katika kusaidia kumaliza matatizo ya kihandisi yanayotuzunguka, kwa mfano foleni kubwa za magari, ajari zisizo katika, mipangilo mibaya ya miji etc etc.

Pengine ni kwasababu wanaona hawatanufaika na lolote...
This time pengine wanaweza kuitikia mwito wako.
 
Mzee Mwanakijiji,

Kama unahitaji majibu ya kisayansi inamaana kwamba hiyo ni changamoto inayochochea utafiti. Bila ya kufanya utafiti swala lako ni batili. Unapozungumzia wingi jaribu kutupatia takwimu ili tuweze kwenda sambamba.

Kwa maoni yangu kulingana na uzoefu, mtu unapoanza safari kutokea Dar, ukishapita Mbezi unahisi ya kwamba sasa njia haina msongamano, ni muda wa kuanza kuharakisha safari.

Vile vile kwa kutokea mikoani, ukifika Kibaha unaanza kufikiri kuhusu ile kero ya pale Ubungo Makutano. Nawe basi unashawishika kukaza buti ili uweze kuwahi.

Tena basi isitoshe njia yote tokea bara unakuta kunakuwa na wale jamaa wa tochi lakini baada ya mizani hutegemei kukuta tochi. HABARI NDIO HIYO.

Nawasilisha.
almost there!
 
si lazima uchangie au utoe comment kama hauna.

Dogo yuko right kabisa... umeweka kwenye jukwaa la siasa!!! Politicizing everything may not be the best thing!!!

kumbuka baadhi yetu tuna interest kwasababu tunaishi au tumewekeza maeneo hayo
 
Back
Top Bottom