Access bank wameanza kupiga simu kwa walioomba, interview ni tarehe moja april, mwanza
Access bank wameanza kupiga simu kwa walioomba, interview ni tarehe moja april, mwanza
Aliyewahi kufanya interview access atusaidie maswali yanakuaje wadau
Aliyewahi kufanya interview access atusaidie maswali yanakuaje wadau
Written inahusiana na logic questions na mathematics questions. Mfano unaweza kuulizwa utaje 33% ya 60% ya 33. Au ukaulizwa dizain ya maswali yale ya watu 6 wanalima shamba la heka 3 kwa siku 1. Je watu hao watatumia siku ngap kulima shamba la nusu heka?(Huo ni mfano, sidhani kama swali liko sahihi)
intavyuu itakuwa mwanza mkuu???
wameanza au kuna watu washapigiwa mkuu???....kama watu wamepigiwa jamaa wametumia namba gani??.....
Asante kwa hii update mkuu
Inaonekana hiyo bank inalipa vizuri sana. mlolongo wote huo wa interview?Loan Officer? Kuna interview 3. Ya kwanza ni written, then mnachujwa then mliopita mnaitwa for info session ambapo mnaelezewa kuhusu kampuni history, bussiness, owners, branches, customers n.k. Mnauliza maswali n.k afu kuna group interview and final oral ya individual
Inaonekana hiyo bank inalipa vizuri sana. mlolongo wote huo wa interview?
Loan Officer? Kuna interview 3. Ya kwanza ni written, then mnachujwa then mliopita mnaitwa for info session ambapo mnaelezewa kuhusu kampuni history, bussiness, owners, branches, customers n.k. Mnauliza maswali n.k afu kuna group interview and final oral ya individual
u.j.i.n.g.a mlolongo wa interview zote za nini hizo kwa 270000
Km ndogo baki unalala nyumbani uone.
ndgu yangu ina maana kwny C.V yako haukuweka namba zako za cm, basi ushafeli, omba kazi zngne