CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Mkuu CPU mlikuwa mnahadithiana haya wapi? tehetehetehetehe ila nimeona tu kwa kusoma huyo mume ana wivu sana hadi inapelekea kutokujiamini kabisa,inaonekana huyo bibie ni mrembo wa haja. Mke anatakiwa amwelewe huyo mumewe vizuri ili kuepusha mambo kma hayo, akitoka mwenyewe avae nguo ndefu akiwa nae avae hizo fupi. Mh ndoa hizi zina vijimambo haswa
My dia
Hizi sio hadithi
Ni habari ya kweli . . .