Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kujua et iv kupata sponsorship za hii serikali yetu kwenda kusoma NCHI ZA NJE-km vle kusomea udaktari India labda,huwa,mtu anazipata kwa kuzingatia vigezo gani,na utaratbu wa kutolewa hzo sponsorship na serikali yetu uko vp?
Serikali ya Tanzania haitoi "Scholarship" kwenda kusoma India ila serikali ya India inatoa "scholarship" ya masomo mengine na sio udaktari..kama unataka scholarship ya kusoma udaktaru jaribu China na Urusi na hizo nafasi huwa zinatangazwa na wizara ya elimu na hao ndiyo wanao shughulika na kila kitu.