About time MWENGUO wa TTB akamove on

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Kwanza tazama hili Tangazo

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=p2rEb52pp1s[/ame]






Huyu jamaa yuko pale tangu enzi za Zakia Meghji na so far naona focus imekuwa kutangaza nchi kuwa ina wanyama wengi bas na ule mlima unaoyeyuka kule juu. No wonder hata Blandina Nyoni pamoja na kujidai kuwa ni mtu wa standards alishindwa kumhamisha

Nadhani its about time wakamweka mtu mwingine mwenye mawazo tofauuti na huyu Mwenguo

Hivi kuna ugumu gani kwa Mwenguo kulobby JIJI waweke Traffic lights ili wale watalii wapovuka kukata ticket pale St Peters sasa jiulize ishu ndogo kama hiyo kama inamshinda ndio ataweza kweli hiyo grand ambitions za kuifanya Kariakoo kuwa tourist attraction?
 
akili za Mwenguo zimefika ukomo....na waliomuweka hawana tofauti.......no help
 
toka mke wake yule mlevi afariki basi hana akili tena ya kuhusu utalii!!!!
Actually masikini nchi yetu haina upeo wa kutangaza utalii angalia hata matangazo yao ya kimataifa ni kioja hawataki kukusanya data toka kwa watz wa sehemu mbalimbali ila wanataka wale wenyewe na watu wa ubalozini kujifanya wanazijua kila kona za nchi ambazo mabalozi hao wapo wakati mabalozi wetu at large wanaishia kwenye capitals...kwa mfano kama UK wanajua london,US wanajua washington na New york n.k Lakini hela zinazoliwa kwa mfano hapa UK walikuja wiki ilyopita ni nyingi mno kuliko kutangaza huo utalii. we London kuna mtalii gani wakati ile ni Multicultural city!!!? potential tourists wapo country side
kwa hiyo wahusishwe watu wa miji mingine!!!!
 
Huyu mtu nimeanza kumsikia toka enzi za Tanzania Tourist Corp (TTC). Hivi bado yupo tu!.
 
Tatizo siyo yeye, tatizo ni system ilimuacha akakaa pale mpaka TTB imekuwa an organization of the past, many decision making bado ziko kwa watu wa fedha na uatawal... kama enzi zile za nyerere

TTB needs overhaul
 
Kwanza tazama hili Tangazo

http://www.youtube.com/watch?v=p2rEb52pp1s






Huyu jamaa yuko pale tangu enzi za Zakia Meghji na so far naona focus imekuwa kutangaza nchi kuwa ina wanyama wengi bas na ule mlima unaoyeyuka kule juu. No wonder hata Blandina Nyoni pamoja na kujidai kuwa ni mtu wa standards alishindwa kumhamisha

Nadhani its about time wakamweka mtu mwingine mwenye mawazo tofauuti na huyu Mwenguo

Hivi kuna ugumu gani kwa Mwenguo kulobby JIJI waweke Traffic lights ili wale watalii wapovuka kukata ticket pale St Peters sasa jiulize ishu ndogo kama hiyo kama inamshinda ndio ataweza kweli hiyo grand ambitions za kuifanya Kariakoo kuwa tourist attraction?

GT Blandina Nyoni hajifanyi kuwa mtu wa standars bali ni mtu wa viwango vya hali ya juu na we ngoja uone atakavyobadilisha pale Ocean Road Cancer hospital baada ya tuhuma zinazowakabili viongozi wa pale. She is an IRON lady no jokosity!! I guess she believes in ACTION and not ELOQUENCE!!
 
toka mke wake yule mlevi afariki basi hana akili tena ya kuhusu utalii!!!!
Actually masikini nchi yetu haina upeo wa kutangaza utalii angalia hata matangazo yao ya kimataifa ni kioja hawataki kukusanya data toka kwa watz wa sehemu mbalimbali ila wanataka wale wenyewe na watu wa ubalozini kujifanya wanazijua kila kona za nchi ambazo mabalozi hao wapo wakati mabalozi wetu at large wanaishia kwenye capitals...kwa mfano kama UK wanajua london,US wanajua washington na New york n.k Lakini hela zinazoliwa kwa mfano hapa UK walikuja wiki ilyopita ni nyingi mno kuliko kutangaza huo utalii. we London kuna mtalii gani wakati ile ni Multicultural city!!!? potential tourists wapo country side
kwa hiyo wahusishwe watu wa miji mingine!!!!

walichokifanya si kibaya....isipokuwa wanatakiwa waongeze the outrech campaign ya kuitangaza Tanzania na Utalii wake......mfano wakakti napita kijiji kimoja huko Sweden....nilikutana na tangazo la Utalii Kenya kwenye kituo cha basi.......na jingine karibu na Gas station.........vitu vidogo kama hivyo....vitasaidia......sisemi sasa ndugu zetu wa Utalii watoke kichwa kichwa kwenda kuweka matangazo....inabidi wafanye kazi ya kubuni strategies (kutambua locations zaidi) ya kuwapata potential tourist na kuweka matangazo huko
 
walichokifanya si kibaya....isipokuwa wanatakiwa waongeze the outrech campaign ya kuitangaza Tanzania na Utalii wake......

Ogah!!!

it couldnt have been said any better!!!! Wanatakiwa waongeze the outreach campaign!!!

Sasa tatizo linakuja moja tu kwa hawa jamaa, STRATEGIES TO MARKET TANZANIA TOURISM ATTRACTION!!!

Wao wanadhani ni kwenda kwenye exhibitions nk. unakuta mkurugenzi mzima (hapa namaanisha Peter, Macha, Finance Director, hadi afisa uajiri) wanajazana kwenye square meters 12 ulaya wakisimia vipeperushi na flat screen moja, this is totally abuse of available resources!!! Wao utangazaji hadi leo ni kwenda exhibition, kudhamini miss Tz na utalii na kukusanya fedha za tour operator kuwaandalia mabanda... HAPO SIJAGUSA ruzuku itokanayo na walipa kodi wa chi wafadhili na sie akina chukulubu!!

It could have been done better

  • kwanza kuachia marketting department uhuru
  • Pili kujenga uwezo wa watumishi wa idara husika
  • Tatu ku-review thier annual marketting stragegies
  • Nne kushirikiana zaidi na sekta binafsi sio kuwapigia simu kuomba complementatry na michango
  • Tano kutumia vyema our networks nje
  • Sita and the most IMPORTANT KUWA THE REAL BODI YA UTALII NA SIO MADALALI WA TOUR COMPANIES - maana yangu hapa ni kwamba act yake ibadilike na iwape kazi ya kusimamia utalii, kwa sasa hawana tofauti na TANAPA, NCAA na tour operators
Those are my two cents
 
GT Blandina Nyoni hajifanyi kuwa mtu wa standars bali ni mtu wa viwango vya hali ya juu na we ngoja uone atakavyobadilisha pale Ocean Road Cancer hospital baada ya tuhuma zinazowakabili viongozi wa pale. She is an IRON lady no jokosity!! I guess she believes in ACTION and not ELOQUENCE!!

THanks!!!!
 
Ogah!!!

it couldnt have been said any better!!!! Wanatakiwa waongeze the outreach campaign!!!

Sasa tatizo linakuja moja tu kwa hawa jamaa, STRATEGIES TO MARKET TANZANIA TOURISM ATTRACTION!!!

Wao wanadhani ni kwenda kwenye exhibitions nk. unakuta mkurugenzi mzima (hapa namaanisha Peter, Macha, Finance Director, hadi afisa uajiri) wanajazana kwenye square meters 12 ulaya wakisimia vipeperushi na flat screen moja, this is totally abuse of available resources!!! Wao utangazaji hadi leo ni kwenda exhibition, kudhamini miss Tz na utalii na kukusanya fedha za tour operator kuwaandalia mabanda... HAPO SIJAGUSA ruzuku itokanayo na walipa kodi wa chi wafadhili na sie akina chukulubu!!

It could have been done better

  • kwanza kuachia marketting department uhuru
  • Pili kujenga uwezo wa watumishi wa idara husika
  • Tatu ku-review thier annual marketting stragegies
  • Nne kushirikiana zaidi na sekta binafsi sio kuwapigia simu kuomba complementatry na michango
  • Tano kutumia vyema our networks nje
  • Sita and the most IMPORTANT KUWA THE REAL BODI YA UTALII NA SIO MADALALI WA TOUR COMPANIES - maana yangu hapa ni kwamba act yake ibadilike na iwape kazi ya kusimamia utalii, kwa sasa hawana tofauti na TANAPA, NCAA na tour operators
Those are my two cents


I just heard that Peter Mwenguo has retired as of yesterday. So he is not anymore at the Tanzania Tourist Board. Lets see who takes his place and will he be able to change TTB?
 
I just heard that Peter Mwenguo has retired as of yesterday. So he is not anymore at the Tanzania Tourist Board. Lets see who takes his place and will he be able to change TTB?
 
Ni kweli Mwenguo alitakiwa kuwa amejiondoa kwa umri na muda wowote kutakuwa na mtu mpya . GT tatizo si Mwenguo bali ni Macha ambaye ni Marketing Director wa TTB . The man hajui hata kutumia computer , ni mlevi , ni msiri na anapenda rushwa. Huwezi kupenya TTB kama Macha hujampa anacho kitaka . SO again shida si Mwenguo bali ni Macha . Wizara inatakuwa kumuonda Macha ana mawazo mgando na hawezi kupokea mawazo mapya hata mara moja na hayuko tayari .

Kwa mfano wa huu upuuzi wa Macha katika maonyesho yote ya utalii Ulaya TTB wana mkataba na Mwingereza mmoja ambaye ndiye anajenfa stand zote za TTB katika maonyesho yote Ulaya . Yaani anaondoka UK asubuhi na kurudi Jioni .TTB ukiangalia standard ya stand zao katika maonyesho ni very poor ila hawako tayari kumwachia huyu jamaa mzungu wa UK kwa kuwa anawapa chao .

TTB hata ukiwapa za kuitangaza Tanzania na utalii wao wana mawazo kama ya mkuu wa Nchi kwamba akimpa Drogba Jezi ya stars basi TZ imetangazwa hapana.

Tanzania inajulikana sana sana ila kuna ulaji wa pesa na hawataki kuifanya iwakae wazungu vichwani kw akufanya mambo madogo madogo . Kuna progs za TV local Ulaya , editorials kweney magazeti , Internet na roa shows lakini yote haya hawawezi kuachia watu wenye uwezo lazima Macha awepo na Mwenguo na waziri . Kuna mengi pale TTB na kwa mwendo huu lazima Macha aondoke baada ya Mwenguo ndipo waje watu wenye uwezo wa kuelewa nguvu ya media nk .Vinginevyo hakuna kitu
 
Lunyungu, tatizo pale ni kubwa mno... ni la kimfumo!!! Angalia watu wa research pale wanafanya nini, angalia marketing strategies, angalia kazi za bodi katika policy zikoje maana nijuavyo mimi na kwa kuangalia level ya industry TTB haikuhitaji kuwa na promotion strategies kama za NCAA, Antelope tours etc. they should oversee the industry hence moe regulatory kuliko sasa ambavyo na wao wanazungusha vipeperushi
 
...............Tanzania inajulikana sana sana ila kuna ulaji wa pesa na hawataki kuifanya iwakae wazungu vichwani kw akufanya mambo madogo madogo . Kuna progs za TV local Ulaya , editorials kweney magazeti , Internet na roa shows lakini yote haya hawawezi kuachia watu wenye uwezo lazima Macha awepo na Mwenguo na waziri . Kuna mengi pale TTB na kwa mwendo huu lazima Macha aondoke baada ya Mwenguo ndipo waje watu wenye uwezo wa kuelewa nguvu ya media nk .Vinginevyo hakuna kitu

Mkuu hiyo ni kweli tupu........natumai wanakusikia.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom