Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Kwanza tazama hili Tangazo
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=p2rEb52pp1s[/ame]
Huyu jamaa yuko pale tangu enzi za Zakia Meghji na so far naona focus imekuwa kutangaza nchi kuwa ina wanyama wengi bas na ule mlima unaoyeyuka kule juu. No wonder hata Blandina Nyoni pamoja na kujidai kuwa ni mtu wa standards alishindwa kumhamisha
Nadhani its about time wakamweka mtu mwingine mwenye mawazo tofauuti na huyu Mwenguo
Hivi kuna ugumu gani kwa Mwenguo kulobby JIJI waweke Traffic lights ili wale watalii wapovuka kukata ticket pale St Peters sasa jiulize ishu ndogo kama hiyo kama inamshinda ndio ataweza kweli hiyo grand ambitions za kuifanya Kariakoo kuwa tourist attraction?
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=p2rEb52pp1s[/ame]
Huyu jamaa yuko pale tangu enzi za Zakia Meghji na so far naona focus imekuwa kutangaza nchi kuwa ina wanyama wengi bas na ule mlima unaoyeyuka kule juu. No wonder hata Blandina Nyoni pamoja na kujidai kuwa ni mtu wa standards alishindwa kumhamisha
Nadhani its about time wakamweka mtu mwingine mwenye mawazo tofauuti na huyu Mwenguo
Hivi kuna ugumu gani kwa Mwenguo kulobby JIJI waweke Traffic lights ili wale watalii wapovuka kukata ticket pale St Peters sasa jiulize ishu ndogo kama hiyo kama inamshinda ndio ataweza kweli hiyo grand ambitions za kuifanya Kariakoo kuwa tourist attraction?