Mfukunyuzi
Senior Member
- May 30, 2012
- 125
- 9
JF members I would like to know if there is any probability for a CBG student to go for further studies in the field of Doctor for medicine. Your comment will be appreciated.
Jifunze kuandika kwanza vizuri sio wote ni watoto alaaaa!!
hii ni ya chuo gani mkuu vp m2 ukwa na dde waweza pata hyo kozi mkuu
hii ni ya chuo gani mkuu vp m2 ukwa na dde waweza pata hyo kozi mkuu
hapo haiwezekani,ulitakiwa kwanza usiwe na somo lolote below d advance na below c o-level.
Hili swali tushalijibu mkuu...kwa tanzania bila physics husomi medicine,sifahamu kuhusu vyuo binafsi...halafu pili kwa hizo maksi zako hufai udaktari mkuu hata kama ingekua pcb...labda ubwana afya...mimi nilisoma cbg na nilipata div 1 ila sikupata hiyo nafasi...nikatafuta skolaship nikasepa bongo...mwaka wa tano sasa medicine kwa watu...
Mkubwa jiandae na zengwe toka MCT kama umeplan kuwa mzalendo wa kututibu wadanganyika!![/QUOTE]
fafanua vizuri hapo mkuu...
Mkubwa jiandae na zengwe toka MCT kama umeplan kuwa mzalendo wa kututibu wadanganyika!!
Hili swali tushalijibu mkuu...kwa tanzania bila physics husomi medicine,sifahamu kuhusu vyuo binafsi...halafu pili kwa hizo maksi zako hufai udaktari mkuu hata kama ingekua pcb...labda ubwana afya...mimi nilisoma cbg na nilipata div 1 ila sikupata hiyo nafasi...nikatafuta skolaship nikasepa bongo...mwaka wa tano sasa medicine kwa watu...
me nimesoma pcb sio cbg mkubwa, alafu mbona kwa chuo kama kcmc na udom wanataka kuanzia point 5 mkuu, afu kuna chuo kama hubert kairuki wanachukua 2 principal pass and with atotal of 4.5 point
habari za cbg umezileta mwenyewe mkuu...nikakujibu kuwa haiwezekani...kcmc na hizo points sijui kwa kweli kiwango cha competition sasa hv ila kipindi chetu maksi hizo ilikuwa ualimu nakumbuka jamaa yangu alipata hivyo na alikuwa pcb alienda ualimu...kama umeamua basi pigana bila kuchoka utafanikiwa...good luck