zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,261
- 3,909
Hivi wakuu ni sahihi nikisema "waislamu waache kupiga viongozi wa nchi" simply because Said kampiga mzee Mwinyi?
Na waIslam tukisema ''viongozi waache kuongea upuuzi wanapokuwa na waIslam''. tunakosea?