frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Hotuba saa ngapi?
Saa kumi kamili
Hotuba saa ngapi?
Mbona hamumtaji mke wa Dr Omar Alli Juma
Wangealikwa na kuwepo kwenye list kisha tuambiwe fulani na fulani hawatahudhiria kwa sababu za kiafya na watanzania tuwaombee wapate nafuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Mnataka mzee wa watu apelekwe kwenye machela? Mnaijua hali ya afya yake? Ni tukio gani mmemwona hadharani mara ya mwisho? Mkipata majibu ya haya basi mtajua kwa nini hakualikwa
swali muhimu wakuu,
kwanini ccm inapinga serikali tatu?.
mwenye hekima ya ki-GT naomba ajibu kwa faida ya wanajf wote/kuweka record sawa.
natunguliza shukrani.
Hotuba saa ngapi?
Mkuu HNIC hebu funguka tukuelewe vizuri. Hawakualikwa kwenda wapi na je, kama ni wake wa marais waliowahi kuongoza TZ na ZNZ, Mzee Aboud Jumbe anaingiaje kwenye orodha hii?. Tulia unyooshe mambo Mkuu. Naomba kuwasilisha.
hii habari sio sawa.
Hawataki demokrasi kubwa wanataka watumishi wa serikali wa ngazi za juu wazidi kuwa wakuteuliwa ndo sababu pia hawakutaka serikali za majimbo maana wakuu wa mikoa na wilaya watachaguliwa na wananchi na si kuteuliwa na Rais jambo ambalo litapunguza mamlaka na nguvu za Rais kitu ambacho CCM hawaki pia lengo kubwa la viongozi wa juu CCM wazidi kusujudiwa na watu ili wawateue sehemu mbalimbali wawe miungu watu ndo sababu Lowassa kazungukwa na watu sio kwamba wanampenda au ana dira ya kweli na Tanzania bali wanajua urais unanukia kwake basi wawe karibu ili akiutwaa basi wateuliwe sehemu mbalimbali,
Wangealikwa na kuwepo kwenye list kisha tuambiwe fulani na fulani hawatahudhiria kwa sababu za kiafya na watanzania tuwaombee wapate nafuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wamealikwa marais wa zamani wote wa Tanzania walio hai ambao ni Mwinyi na Mkapa, Mawaziri wakuu wote wa zamani walio hai ambao ni Msuya, Warioba, Malecela, Sumaye, Lowassa pia na Pinda Marais wote wa zamani Zanzibar ambao ni Salmin Amour, na Amman Karume pia wake za waasisi wa Muungano mama Maria Nyerere na Mama Karume hii ni katika hotuba atakayotoa Kikwete leo Bungeni kuhutubia bunge la katiba hao kawaalika kama wageni zake katika kuisindikiza hotuba sasa mdau anauliza mbona Jumbe hayupo naye alikuwa Rais wa Zanzibar? Pia mke wa Idrissa Wakili hajaalikwa kuwakilisha mmewe kama Mama Maria Nyerere na Mama Karume walivyowakilisha waume zao? Ndio swali
Hapana hakutaka serikali Tatu, bali ni masariti pia ni mchonganishi, alienda UK aka print hela za Zanzibar, bendera nk, kisha akamwambia waziri mkuu wa UK kipindi kile Kuwa Bara wanampango wa kuivamia Zanzibar, aliporudi huku, akamwambia Nyerere Kuwa kuna kundi la wanajeshi wa nje wamepanga kuivamia Zanzibar kwahiyo anaomba ulinzi, ndiyo Nyerere alipeleka wanajeshi kwa wingi na vifaru kuilinda Zanzibar, Jumbe akapiga simu UK tena kuwaambia Bara imeivamia Zanzibar kama alivyowaambia, baada ya mawasiriano kati ya Nyerere na PM wa UK ndiyo ikaonekana Jumbe mchonganishi, wakamuambia ajihuzuru kwa heshima yake, ila kwa Sasa afya yake siyo imara amezeeka sana, pia haoni.
Mkuu nadhani ni habari ya kusadikika,kilichoelezwa wakati huo ni kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa,kuliko sababishwa na Jumbe kudai Zanzibar yenye mamlaka kamiliReally?? Basi hii habari mpya sijawahi kuisikia kabisa japo wakati mzee Jumbe anajiuzulu nilikuwa darasa la 5, na enzi hizo tukisoma tukiwa wakubwa. Hebu kaka zetu na wanaoijua historia kama nguruvi, mag3 na wengine mtusaidie kuhusu usahihi wa hili aliloandika hapa, Rich Pol.
Mnataka mzee wa watu apelekwe kwenye machela? Mnaijua hali ya afya yake? Ni tukio gani mmemwona hadharani mara ya mwisho? Mkipata majibu ya haya basi mtajua kwa nini hakualikwa
Habari ni kuwa wake wa marais waliowahi kuongoza TZ na ZNZ wamealikwa kesho na wamegharamiwa
lakini cha ajabu kwenye mwaliko huo hatokuwepo mke wa Marehem Idrissa Abdul Wakil na wala hatokuwepo Mzee Aboud Jumbe
kulikoni?
asante,japo sijaridhika na ufafanuzi wako.