Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Nipo njiani, nimetoka Moro kwenda dar kusherekea sikuu na familia yangu. Nimepanda Abood T 969 ALY, limezima maeneo ya Vigwaza. Tumejaribu kulisukuma haliwaki.
Abood vipi tena, ina maana magari yako hauyafanyii matengenezo kabla yasafari. UNAABISHA, inakera sana.
Abood vipi tena, ina maana magari yako hauyafanyii matengenezo kabla yasafari. UNAABISHA, inakera sana.