SYENDEKE
Senior Member
- Jul 18, 2011
- 169
- 26
Habari wana jf na siku tatu nilikuwa kilombero kwa shughuli mbalimbali sasa leo nimemaliza shughuli zangu nimeamua kuanza safari mapema asubuhi nilitaka gari ya asubuhi sana ili niweze fika mjini mapema sasa nikakosa gari ya kwanza ambayo ni MORO BEST ikawa imejaa nika bahatika kupata nafasi gari ya Alsaedy T322 DDP
sasa hii gari wameandika inatoka saa 12:10 asubuhi tukawa tumewahi kama kawa sasa nimefika kituoni 2mekaa sana kituoni baadae ilibidi abiria 2mind nakuanza kuhoji kinacho endelea pale baadae tetesi zikasambaa kuwa hakuna dereva dereva anapigiwa cm hapokei baada ya lisaa dereva akaja na bodaboda amelewa mbaya full kupepesuka eti anataka kuendesha basi yaani inaonekana ni mtu aliye kesha anakunywa pombe. Baada kuona vile ikabidi abiria tugome kupanda kwenye gari na apigiwe simu tajiri na SUMATRA na polisi baadae baada ya masaa3 akaja dereva mwingine tukafanikiwa kuondoka na tulivyo fika mikumi tukamuacha dereva chapombe polisi mikumi halafu tulivyo fika morogoro ikaonekana dereva anae endesha ni KISHOKA hana uzeofu wowote na Bosi wa gari alikuwa amewaset polisi ili gari iweze fika morogoro. sasa ilivyo fika morogoro ikabidi watubadilishie gari la BM COACH T618 BQX nawakasingizia kuwa gari mbovu
kwanza hizi gari zimeandikwa high class lakini hazina ubora wowote cozi zinajaza kama mabasi ya mbagara vile halafu zinapita kwenye mizani na wala sijui hawa watu wa mizani wanapima nini haswa wakati watu walio simama ni nusu ya walio kaa.
Hoja yangu hapa kuna kipimo cha urevi kwenye udereva cozi inavyo onesha kwenye mabasi ya ALSAEDY na wengine ni kawaida kukesha na pombe then kuendesha magari ndo maana ajari hazipungui bongo kwa uzembe wa watu fulani ni hayo2
sasa hii gari wameandika inatoka saa 12:10 asubuhi tukawa tumewahi kama kawa sasa nimefika kituoni 2mekaa sana kituoni baadae ilibidi abiria 2mind nakuanza kuhoji kinacho endelea pale baadae tetesi zikasambaa kuwa hakuna dereva dereva anapigiwa cm hapokei baada ya lisaa dereva akaja na bodaboda amelewa mbaya full kupepesuka eti anataka kuendesha basi yaani inaonekana ni mtu aliye kesha anakunywa pombe. Baada kuona vile ikabidi abiria tugome kupanda kwenye gari na apigiwe simu tajiri na SUMATRA na polisi baadae baada ya masaa3 akaja dereva mwingine tukafanikiwa kuondoka na tulivyo fika mikumi tukamuacha dereva chapombe polisi mikumi halafu tulivyo fika morogoro ikaonekana dereva anae endesha ni KISHOKA hana uzeofu wowote na Bosi wa gari alikuwa amewaset polisi ili gari iweze fika morogoro. sasa ilivyo fika morogoro ikabidi watubadilishie gari la BM COACH T618 BQX nawakasingizia kuwa gari mbovu
kwanza hizi gari zimeandikwa high class lakini hazina ubora wowote cozi zinajaza kama mabasi ya mbagara vile halafu zinapita kwenye mizani na wala sijui hawa watu wa mizani wanapima nini haswa wakati watu walio simama ni nusu ya walio kaa.
Hoja yangu hapa kuna kipimo cha urevi kwenye udereva cozi inavyo onesha kwenye mabasi ya ALSAEDY na wengine ni kawaida kukesha na pombe then kuendesha magari ndo maana ajari hazipungui bongo kwa uzembe wa watu fulani ni hayo2