Abiria wamgomea dereva wa Al-saedy high class t322 ddp kisa mlevi kutoka Kilombero-Dar

SYENDEKE

Senior Member
Jul 18, 2011
169
26
Habari wana jf na siku tatu nilikuwa kilombero kwa shughuli mbalimbali sasa leo nimemaliza shughuli zangu nimeamua kuanza safari mapema asubuhi nilitaka gari ya asubuhi sana ili niweze fika mjini mapema sasa nikakosa gari ya kwanza ambayo ni MORO BEST ikawa imejaa nika bahatika kupata nafasi gari ya Alsaedy T322 DDP

sasa hii gari wameandika inatoka saa 12:10 asubuhi tukawa tumewahi kama kawa sasa nimefika kituoni 2mekaa sana kituoni baadae ilibidi abiria 2mind nakuanza kuhoji kinacho endelea pale baadae tetesi zikasambaa kuwa hakuna dereva dereva anapigiwa cm hapokei baada ya lisaa dereva akaja na bodaboda amelewa mbaya full kupepesuka eti anataka kuendesha basi yaani inaonekana ni mtu aliye kesha anakunywa pombe. Baada kuona vile ikabidi abiria tugome kupanda kwenye gari na apigiwe simu tajiri na SUMATRA na polisi baadae baada ya masaa3 akaja dereva mwingine tukafanikiwa kuondoka na tulivyo fika mikumi tukamuacha dereva chapombe polisi mikumi halafu tulivyo fika morogoro ikaonekana dereva anae endesha ni KISHOKA hana uzeofu wowote na Bosi wa gari alikuwa amewaset polisi ili gari iweze fika morogoro. sasa ilivyo fika morogoro ikabidi watubadilishie gari la BM COACH T618 BQX nawakasingizia kuwa gari mbovu

kwanza hizi gari zimeandikwa high class lakini hazina ubora wowote cozi zinajaza kama mabasi ya mbagara vile halafu zinapita kwenye mizani na wala sijui hawa watu wa mizani wanapima nini haswa wakati watu walio simama ni nusu ya walio kaa.

Hoja yangu hapa kuna kipimo cha urevi kwenye udereva cozi inavyo onesha kwenye mabasi ya ALSAEDY na wengine ni kawaida kukesha na pombe then kuendesha magari ndo maana ajari hazipungui bongo kwa uzembe wa watu fulani ni hayo2
 
Kama watanzania tumefikia ngazi hii ya kujitetea ni faraja sana. Hakuna kuburuzwa tena.
 
kuna dereva wa saibaba aliwahi kurudi nyuma pale kwenye mataa ya ubungo wakati taa zimeruhusu kwenda mbele alivyofika kibaha abiria wakamshtaki kwa trafiki alionyeshwa kwenye tv yuko chakari kwa ulevi eti akajitetea kapiga kiroba kimoja tu,wakati alikuwa hajiwezi hata kutaja jina lake
 
jamani naskia siku hizi hata Asprin kafungua klabu yake ya walevi wakisha kunywa wanatestiwwa kama wanaweza kupitisha gari kwenye daraja dogo huko maeneo fulan ukpita salam wewe na pombe zako hadi mwanza unafika.
 
Last edited by a moderator:
Habari wana jf na siku tatu nilikuwa kilombero kwa shughuli mbalimbali sasa leo nimemaliza shughuli zangu nimeamua kuanza safari mapema asubuhi nilitaka gari ya asubuhi sana ili niweze fika mjini mapema sasa nikakosa gari ya kwanza ambayo ni MORO BEST ikawa imejaa nika bahatika kupata nafasi gari ya Alsaedy T322 DDP

sasa hii gari wameandika inatoka saa 12:10 asubuhi tukawa tumewahi kama kawa sasa nimefika kituoni 2mekaa sana kituoni baadae ilibidi abiria 2mind nakuanza kuhoji kinacho endelea pale baadae tetesi zikasambaa kuwa hakuna dereva dereva anapigiwa cm hapokei baada ya lisaa dereva akaja na bodaboda amelewa mbaya full kupepesuka eti anataka kuendesha basi yaani inaonekana ni mtu aliye kesha anakunywa pombe. Baada kuona vile ikabidi abiria tugome kupanda kwenye gari na apigiwe simu tajiri na SUMATRA na polisi baadae baada ya masaa3 akaja dereva mwingine tukafanikiwa kuondoka na tulivyo fika mikumi tukamuacha dereva chapombe polisi mikumi halafu tulivyo fika morogoro ikaonekana dereva anae endesha ni KISHOKA hana uzeofu wowote na Bosi wa gari alikuwa amewaset polisi ili gari iweze fika morogoro. sasa ilivyo fika morogoro ikabidi watubadilishie gari la BM COACH T618 BQX nawakasingizia kuwa gari mbovu

kwanza hizi gari zimeandikwa high class lakini hazina ubora wowote cozi zinajaza kama mabasi ya mbagara vile halafu zinapita kwenye mizani na wala sijui hawa watu wa mizani wanapima nini haswa wakati watu walio simama ni nusu ya walio kaa.

Hoja yangu hapa kuna kipimo cha urevi kwenye udereva cozi inavyo onesha kwenye mabasi ya ALSAEDY na wengine ni kawaida kukesha na pombe then kuendesha magari ndo maana ajari hazipungui bongo kwa uzembe wa watu fulani ni hayo2

ajari? au Ajali...
 
kuna dereva wa saibaba aliwahi kurudi nyuma pale kwenye mataa ya ubungo wakati taa zimeruhusu kwenda mbele alivyofika kibaha abiria wakamshtaki kwa trafiki alionyeshwa kwenye tv yuko chakari kwa ulevi eti akajitetea kapiga kiroba kimoja tu,wakati alikuwa hajiwezi hata kutaja jina lake

yaani hawa madereva kukesha kwa kunywa imekuwa kawaida sana ndo maana ajali wala hata haziishe na mara nyingi zinatokea wakati wa sikukuu kwa kuwa ndo muda mwingi ambao madereva nao wanakesha wakinywa halafu wanaendesha magari
 
Back
Top Bottom