abiria wa precision wanusurika kifo kgm

mgadafi

Member
Feb 27, 2012
54
18
kuna habari pricion air imeshindwa kuruka baada kupasuka matyre na kuacha run way hakuna alieumia
 
Kuna habari ndege ya Precision imeshindwa kuruka baada ya kupasuka matairi na kuacha njia, ila hakuna aliyeumia!!
 
mkuu lete habari kwa kina na sio nusu nusu. Hapa ni great thinkers only
 
Tairi la ndege kupasuka?!, hizi ajari za ndege kigoma nadhani sasa tatizo ni kigoma.
 
Zile kokoto na changarawe ni hatari sana....hivi tunashindwa kuweka 5kms tu za lami ya run way kweli kila mkoa?tunaweza nini?kufungasha misafara mirefu kwenda ulaya kupewa suti??
 
Uwanja wa Kigoma ni mbovu sana.
Kwa wanaojua, implication ya statement ya FJM hapo juu ni kubwa sana.
Maana ya FJM ni kwamba kupasuka kwa matairi ya hiyo ndege kumesababishwa na hali ya runway, ambapo kuna hatari ya kufunga kiwanja hicho hadi hapo kitakaporekebishwa. Lakini pia hasara iliyopatikana leo kwa tukio hil inaweza kuwa shifted kwa mmiliki wa kiwanja hicho.
Tusubiri INvestigation za kitaalam zitakazofanyika na uzuri sababu zitawekwa wazi.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: FJM
Zile kokoto na changarawe ni hatari sana....hivi tunashindwa kuweka 5kms tu za lami ya run way kweli kila mkoa?tunaweza nini?kufungasha misafara mirefu kwenda ulaya kupewa suti??
Wala siyo 5km! Kiwanja cha ndege chenye runway ndefu kuliko vyote nchini ni KIA, ambapo ni hiyo 5km, na haitumiki wholly. Kiwanja cha Kigoma kinahitaji km 2 tu za ruway ya lami.
 
Back
Top Bottom