Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 863
Duu.Watu wengine hawajui hata ushindani wa biashara na pia kujali afya za watu.lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...teh! tehh! Preta unanikumbusha stesheni ya reli ya kati inaitwa Saranda utakutana na paja ya kuku kubwa utadhani digidigi...lakini unameza na maisha yanaendelea...si bora miezi mitatu...huwa kuna kunguru pia wa kuchoma unaambiwa ni kuku
acheni ulafi,safari ya masaa sita unataka ule minyama wee utadhani uko kwenye barbecue party,kama zimekushinda piga biscuit na soda yako poowa,kisha ukifika arusha,moshi,agiza msinia wa nyama iliyochomwa ikaiva.
Ndugu wapendwa kuna hii bar imefunguliwa majuzi kwa wanaopenda kusafir na dar express ,saydady,metro na mengineyo huwa wanapenda kutulazimisha kwenda kula pale...sikuwa najua ni baada ya kusikia ukipeeka gari mnapewa 20 wewe na dereva...sasa hii ni kero kwa abiria
jamani wiki iliopita napita wakatoa nyama mbichi nikawamwagia....nkaondoka majuzin narudi na metro nakumbana na same stupid nyma mbichi wanalazimisha kugawa watu wakafie mbali....chips wameanza punguza mgao huu ni uhni mwenye hotel embu lifanyie kazi wafanyakazi wako hasa dada mmoja na mwenzio mweusi wanabaki kutucheka...mbaya katoto kamoja kameshindwa kula tukaomba hata wampe ilioiva wakaakataa kabisa...hiii na laaana kama si mwisho wa dunia kumlisha mwenzio damu...
Loh11
this guy is totally misleading the public, napata filing huyu jamaa katumwa na jamaa wa restaurant ya mombo mpya kwani inashindwa kushindana na highway sasa anadhani anaweza kutujaza ujinga, nyama ya pale is the best na vyakula vingine pia, njia nzima hakuna sehem nzuri kama pale, kama hutaki kula nyama kuna bufee pale ndani nenda kajisevie, au kama ulivyoonyesha una chuki binafsi panda mabasi mengine yanayosimama mombo uko ulikotumwa kama sumry,serengeti, skline, happy nation etc pale ni mahali kwa watu classic wa mabasi ya ukwli kama dar express, kilimanjaro, mtei na ma luxury yote ya njia ii