ule mgomo unahusu makonda kupigwa faini kupita kiasi.hii imekujajekujaje?......mbona ghafla namna hii.......
ule mgomo unahusu makonda kupigwa faini kupita kiasi.
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">sasa hapa Uda.....ukiangalia abiria yeye anahusika vipi?.......kwa nini wasisisitize kuwepo vituo then huyo mshushwaji na mshushaji wakikaidi amri ndio waadhibiwe?......njia kuu iliyokuwa na mgogoro ni njia ya kutoka mjini kwenda Mbauda na Majengo.....na ukiangalia kweli njia hii haina sehemu za kushushia abiria.......sijui wanataka watu wafanyeje</span></font></font>