KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Katika basi Mama mmoja alitak akumunyonyesha mtoto mtoto akakawa hataki mama akaona nibora amtishie mtoto ili aweze kunyonya kwani safaari ilikuwa bado ni ndefu!Mama akamwambia mtoto kama hunyonyi na mpa anko pembeni anyonya!Hapo anamtaja abiria waliokuwa wamekaa nakiti kimoja,Mtoto kusikia anapewa anko nyonyo yake akaanza kunyonya kidogo akaacha,Mama akamtishia tena ntampa anko nyonyo kama haunyonyi basi mtoto akanyonya safari hiiakacha kunyonya!Akamtishia tena mtoto safari hii yule bro aliyekaa pembeni akasema we mama basi uwenamsimamo unajua nimepitiliza vituo vinne ebu sema ukweli wako je unanipa ninyonye??au mimi nishuke kituo kinachofuata??