Stevemike
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 117
- 15
Ukiingia ndani ya basi unaweza ukakutana na maandishi, "abiria chunga mzigo wako". Na katika tiketi pia utakutana na mwandishi hayohayo na wanaongeza kuwa kampuni haitahusika na upotevu wowote wa mzigo. Nauliza, hii kweli ni kazi ya abiria? Vipi juu ya mizigo iliwekwa na konda kwenye buti? Mzigo kama huu ukipotea, who will be responsible? Haya wana JF!