Abiria zaidi ya 15 wamefariki papohapo baada hiece waliokuwa wanasfiria toka musoma mjini kwenda nyamswa,bunda na butiama kupasuka tairi mbili za nyuma na kupinduka vibaya sana nje kidogo ya mji wa musoma,,kati ya waliokufa ni pamoja na dereva na askari jeshi mmoja na mwenzake kuvunjika vibaya,,ikumbukwe kwamba barabara ya musoma mwanza inafanyiwa matengenezo makubwa na sehemu ilipoangukia gari hiyo ni sehem amabayo tayali ilishakamilika kwa kuwekewa lami safi sana,,na hivyo kama watumiaji hawatachukuwa tahadhali basi mwendelezo wa ajali kama hii huwenda zikaongezeka,,
Picha nawaletea baada ya mda mfupi japo zinatisha sana..!!!!!!!!!!!!!!!!!
Picha nawaletea baada ya mda mfupi japo zinatisha sana..!!!!!!!!!!!!!!!!!