Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Je Wazanzibari wanakubaliana kuwa mzee Karume alikuwa ni shujaa wao? Anakumbukwa kwa yepi mazuri ambayo wananchi wa Zanzibar wanaweza kuona fahari kuwa aliwahi kuwa Rais wao? Yawezekana bado wapo watu ambao wanamuona kama alikuwa dikteta, muuaji na mtu ambaye ameviharibu visiwa hivyo?