Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Sasa kwa nini alimfukuza kazi Februrary, 1972 ?
Labda kwa vile na yeye alichelewesha matokeo ya "investigation" yake kuhusu uasi wa '64....
Sasa kwa nini alimfukuza kazi Februrary, 1972 ?
Companero,
Mkuu ni ukweli usiopingika kuwa Abrahman babu ndiye mwalimu wa Nyerere ktk Ujamaa..
Maelezo ya babu yote yanatangulia Muungano wetu kwa maana kwamba dhumuni la Muungano halikuwa kabisa kuihusisha nchi yetu na Ujamaa kutokana na shinikizo la nchi za magharibi. hata huo uwaziri wa nchi za nje kwa Zanzibar ulidumu tu kwa muda (four month to be exact) wakati ASP wakiwatafutia dawa Umma party kuwaondoa kabisa kwa sababu chama hicho kilijulikana kama ni chama cha Kikomunist..Ukweli ni kwamba ndio waliopindua utawala wa Sultan, yatasemwa mengi kupotosha.. but that is the fact.
Pamoja na kwamba dhumuni la Muungano lilikuwa kulinda Mapinduzi yale lakini swala la Ukomunist ndilo lilikuwa kichwa cha habari.. na Nyerere alikuwa very interested na kichwa hiki - Abraham Babu..
Ndio maana baada ya Muungano ASP walifikiria wameshinda kuwaondoa Umma Party lakini Nyerere alijua kwamba anamhitaji Abraham Babu na vichwa vingine toka visiwani akawavuta bara kama serikali ya Muungano kwa maslahi ya bara..
Kwa hiyo mkuu kuna ukweli ktk maelezo ya Myahudi wetu Netanyahu..na sioni tofauti zenu isipokuwa historia yenyewe mnachanganya wakati.
Mwawado,
Haikuwa nia yangu kuwafananisha Babu na Kambona. Nilichotaka kufanya ni ku "contrast' hasa ukizingatia kwamba Babu aliendelea kumwaga cheche hata alipokuwa makimbizini Uingereza na Marekani wakati Kambona aliishia kwenye ulabu tu.
Tutakuwa tunajidanganya kusema kwamba Nyerere hakuwa mkomunist...isipokuwa kuna mambo mengi ya Kikommunist aliyaacha nje (maswala ya dini) na hakuchukua lolote la Ubebari!
Kuhani,
Mkuu Nyerere alifanya mabadilisho wa wizara zote na sio kumwondoa Babu peke yake... tatizo ni kwamba Nyerere mwenyewe alikuwa msomi hivyo haiwezekani kabisa kuwa Babu ndiye alijua kila kitu kuhusiana na Ujamaa.
Zipo sababu nyingi saana kwa mwalimu mwenyewe kubadilisha baraza zima la mawaziri na sio kweli target alikuwa Abraham babu isipokuwa mwalimu alitaka watu wanaofuata azma yake. Na hakuna rais yeyote duniani ambaye anaweza kuweka baraza la mawaziri watu ambao wanapingana ktk utekelezaji...
Thats very true sijawahi kuona hata kitabu kimoja kilichoandikwa na Kambona. Lakini Babu bwana tembelea duka lolote lile la vitabu watakwambia kama hakijaisha basi watakutolea order
Inatia kinyaa kuona nchi ambayo zamani tulikuwa tunatoa magwiji left and right tumebakiwa na ZERO!
Hebu soma hii article sijui iliandikwa lini from Time magazine
Tangibar - TIME
SteveD,
Duh.. mkuu changu - LIMBUKENI - hutaki kabisa kukiona!...
Kama utaona, nimemwacha Mkulu Kuhani nje makusudi... maana najua atakapoandika chake (simaanishi ile thesis yake ya phd - maana ni bomba), kitakuwa na clauses kibao za kunifunga mimi msomaji!!....mithili ya kujisomea suicidal note yako mwenyewe..... !!!lol
Tuma kwangu maombi ya radhi ndani ya masaa 48 kuanzia tundiko hili ambalo litakuwa tangazo rasmi la wazi (Constructive Notice ), ambayo halijalishi kama umepata ujumbe au hujapata, ili kuepuka kufikiriwa kuchukuliwa hatua kali dhidi yako.
Kama utaona, nimemwacha Mkulu Kuhani nje makusudi... maana najua atakapoandika chake (simaanishi ile thesis yake ya phd - maana ni bomba), kitakuwa na clauses kibao za kunifunga mimi msomaji!!....mithili ya kujisomea suicidal note yako mwenyewe..... !!!lol
Ujumbe kwa mtu hai anaewakilishwa na jina SteveD.
Unapoongelea "ubomba" wa thesis ya phd ambayo hujaiona, na hujui kama ipo, hiyo ni tasnifa (yaani dongo ) la kunipaka mafuta kwa mgongo wa chupa, hasa ukizingatia ulivyonichora kwenye kipicha cha njano cha kashfa.
Na uliposema "maana najua atakapoandika chake" bila kuongeza "kama bado hajaandika" maana hujui kama bado sijakiandika, au sijaviandika na inawezekana usijue maana jina litakalotumika, au lililotumika, sio hilo unalolijua wewe, kitendo hicho ni cha kichochezi. Hilo linaweza kuchanganya wateja wasomaji wangu au wanaoweza kuja kuwa wateja wasomaji wangu, na hivyo kuharibu soko lililopo au linaloweza kuja kuwepo.
Tuma kwangu maombi ya radhi ndani ya masaa 48 kuanzia tundiko hili ambalo litakuwa tangazo rasmi la wazi (Constructive Notice ), ambayo halijalishi kama umepata ujumbe au hujapata, ili kuepuka kufikiriwa kuchukuliwa hatua kali dhidi yako.
man umenikuna! i never met with AMB ( babu ) but the guy was a socialist intellectual to the core. nakumbuka kuna wakati nikiwa ids -udsm nilikuwa namsaidia prof haroub othman kuandika kumbukumbu ya babu. thats when my respect for him grew a thousand times.Binafsi nilijua kuwa BABU alikuwa ni mzima sana na alikuwa ana command respect among the leftisthapa UK na London to be specific east end, enzi hizo Labour walikuwa wanachakaza mabenchi ya opposition, enzi za apartheid in SA na Cold war
Strange enough jamaa wa Caribbean ( wasomi) lakini wanamheshimu sana na michango yake aliyokuwa akiitoa, mind you hata KARL MARX Londion lilikuwa chimbo lake mpaka alipofariki the same applies to other prominent scholars.
Chavez alipokuja London of course the only chance ya kumuona ilikuwa kumingle na ma socialists wetu hapa ndipo Mbunge mmoja wa Labour ambaye ni leftist Jeremy Corbyn alipoanza kunipa story za Babu
Sasa why did i remeber him leo? few moments ago nilikuwa natazama BBC NEWS on BBC4 kulikuwa na story ya mwaandishi mwingine maarufu mwenye asili ya Caribbean anaitwa Dereck Walcott ambaye ni playright na poet na bila kusahau aliwahikushinda Nobel prize in Literature sometimes back
Jamaa anafanana sana na Marehemu BABU
Kaiyunrakuba,man umenikuna! i never met with AMB ( babu ) but the guy was a socialist intellectual to the core. nakumbuka kuna wakati nikiwa ids -udsm nilikuwa namsaidia prof haroub othman kuandika kumbukumbu ya babu. thats when my respect for him grew a thousand times.
as luck would have it, in 2006 i met with dereck walcott in person, this time in trinidad during carifesta! kweli kabisa wanafanana! there was also another literary jiant - sir vid naipaul..huyu naye kiboko! mbali ya shafi adam shafi na shaaban robert tanzania tunaye nani wa ulinganisho na hawa? what happened after these two were done?
what a shame wanasiasa na wasomi wa tanzania sio waandishi. nyerere aliishia kutafsiri kazi za shakespeare ( julius kaizari ) na mabepari wa venice ( jamani hivi kweli tafsiri ya merchant = bepari? ). nothing original here!
Kaiyunrakuba,
Nothing original from Julius Nyerere? You may want to take that back.
---Jasusi, sina uhakika, lakini yaonekana wengi hapa wanaosema hamna kitu original kutoka kwa JKN wasema hivyo kunatokana na mrengo kuwa kitu kuwa original ni lazima kizae matunda positive. Bila kutupia mwangaza vitu original ambavyo - ni original lakini havikuweza kutekelezeka ipasavyo au vilikuwa havitekelezeki. Kwingi kunakoonekana hapa ni kule kuchanganya vinavyotekelezeka na ambavyo havikutekelezwa na kubamizwa kwenye rundo moja na credentials za originality. Hali halisi hapa twajua kuwa - hamna kisicho na mwanzo bila mwisho, hata katika ideology.
Lakini mbona JKN ameandika vitabu vingi tu kuanzia Freedom and Unity, Freedom and Socialism, Freedom and Development...pamoja na articles nyingi tu zilizochapishwa. Can anything be more original than that? Au nyinyi vijana wa siku hizi hamkusoma hivyo vitabu?