Abdul Aonekana Ubalozi wa Afrika kusini

QUALITY

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
853
115
Taarifa zisizo rasmi zimeeleza kuwa yule mtu aliyempigia simu dr. Ulimboka kuja wafanye mazungumzo, na hatimaye kutekwa ameokenana ubalozi wa Afrika kusini akiomba VISA ya kwenda Afrika kusini (pritoria).

Ziko hisia kuwa anamfuatilia Ulimboka alikoenda kutibiwa ili aweze kukamilisha kazi aliyopewa na Ikulu

My take: Ulinzi unapaswa kuimarishwa huko ili hawa wanyama toka Chama Cha Mabwepande (CCM) wasifanikiwa kutoa uhai wake.

Ziko taarifa kuwa dr. Ulimboka ameombewa ulinzi ( https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ional-ubalozi-wa-tz-afrika-kusini-wahaha.html ) kama hili lingefanikiwa, ingekuwa bora sana.

Quality
 
wasiwasi wenu tu kwa hiyo mtu asisafiri kwenda afrika kusini kisa Dr ulimboka makubwa
 
Mliopo viwanja vya ndege!! Hebu chunguzeni siku ya kuondoka huyu jamaa ili tutoe taarifa mapema kwa walio na Ulimboka
 
Taarifa zisizo rasmi zimeeleza kuwa yule mtu aliyempigia simu dr. Ulimboka kuja wafanye mazungumzo, na hatimaye kutekwa ameokenana ubalozi wa Afrika kusini akiomba VISA ya kwenda Afrika kusini (pritoria).

Ziko hisia kuwa anamfuatilia Ulimboka alikoenda kutibiwa ili aweze kukamilisha kazi aliyopewa na Ikulu

My take: Ulinzi unapaswa kuimarishwa huko ili hawa wanyama toka Chama Cha Mabwepande (CCM) wasifanikiwa kutoa uhai wake.

Ziko taarifa kuwa dr. Ulimboka ameombewa ulinzi ( https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ional-ubalozi-wa-tz-afrika-kusini-wahaha.html ) kama hili lingefanikiwa, ingekuwa bora sana.

Quality

Wee nawe ni great thinker kweli?
 
Taarifa zisizo rasmi zimeeleza kuwa yule mtu aliyempigia simu dr. Ulimboka kuja wafanye mazungumzo, na hatimaye kutekwa ameokenana ubalozi wa Afrika kusini akiomba VISA ya kwenda Afrika kusini (pritoria).

Ziko hisia kuwa anamfuatilia Ulimboka alikoenda kutibiwa ili aweze kukamilisha kazi aliyopewa na Ikulu

My take: Ulinzi unapaswa kuimarishwa huko ili hawa wanyama toka Chama Cha Mabwepande (CCM) wasifanikiwa kutoa uhai wake.

Ziko taarifa kuwa dr. Ulimboka ameombewa ulinzi ( https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ional-ubalozi-wa-tz-afrika-kusini-wahaha.html ) kama hili lingefanikiwa, ingekuwa bora sana.

Quality


Pamoja na kuwa walilolifanya juu ya kujaribu kupunguza nguvu ya mgomo wa madaktari wamelifanya kijinga, sitegemei kama wataendelea kufanya kosa kumtumia mtu huyohuyo kuendeleza ujinga wao. Ila ni vema kujua kuwa kuna haja ya kumlinda Ulimboka kwa kila namna kuepuka nguvu ya dhamira chafu waliyonayo
 
kwanza kama haujui Dr.Ulimboka yuko Ujerumani sio SA...sijui mnatoaga wapi habari hizi uchwara...
 
Taarifa zisizo rasmi zimeeleza kuwa yule mtu aliyempigia simu dr. Ulimboka kuja wafanye mazungumzo, na hatimaye kutekwa ameokenana ubalozi wa Afrika kusini akiomba VISA ya kwenda Afrika kusini (pritoria).

man kwani tunahitaji visa kwenda S.AFRICA! ..?!
 
Taarifa zisizo rasmi zimeeleza kuwa yule mtu aliyempigia simu dr. Ulimboka kuja wafanye mazungumzo, na hatimaye kutekwa ameokenana ubalozi wa Afrika kusini akiomba VISA ya kwenda Afrika kusini (pritoria).

Ziko hisia kuwa anamfuatilia Ulimboka alikoenda kutibiwa ili aweze kukamilisha kazi aliyopewa na Ikulu

My take: Ulinzi unapaswa kuimarishwa huko ili hawa wanyama toka Chama Cha Mabwepande (CCM) wasifanikiwa kutoa uhai wake.

Ziko taarifa kuwa dr. Ulimboka ameombewa ulinzi ( https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ional-ubalozi-wa-tz-afrika-kusini-wahaha.html ) kama hili lingefanikiwa, ingekuwa bora sana.

Quality
unauhakika jombaa. au unataka kutuweka katika tension na uongo wako....
 
taarifa zisizo rasmi zimeeleza kuwa yule mtu aliyempigia simu dr. Ulimboka kuja wafanye mazungumzo, na hatimaye kutekwa ameokenana ubalozi wa afrika kusini akiomba visa ya kwenda afrika kusini (pritoria).

Ziko hisia kuwa anamfuatilia ulimboka alikoenda kutibiwa ili aweze kukamilisha kazi aliyopewa na ikulu

my take: Ulinzi unapaswa kuimarishwa huko ili hawa wanyama toka chama cha mabwepande (ccm) wasifanikiwa kutoa uhai wake.

Ziko taarifa kuwa dr. Ulimboka ameombewa ulinzi ( https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ional-ubalozi-wa-tz-afrika-kusini-wahaha.html ) kama hili lingefanikiwa, ingekuwa bora sana.

Quality

huhitaji visa kwenda south africa siku hizi unatakiwa kuwa na yellow fever vaccination card tu acheni uongo
 
huhitaji visa kwenda south africa siku hizi unatakiwa kuwa na yellow fever vaccination card tu acheni uongo


watu kama hawa utakuta wabishi sana... utakuta hata passport hajawahi kumiliki .... utakuta hii habari ka copy blog flani kaja ku paste JF
 
Muwe wepesi sana kutuwekea picha ili wakiingia kwenye anga zetu tuwasanue kabla awajatusanua.
 
Taarifa zisizo rasmi zimeeleza kuwa yule mtu aliyempigia simu dr. Ulimboka kuja wafanye mazungumzo, na hatimaye kutekwa ameokenana ubalozi wa Afrika kusini akiomba VISA ya kwenda
Afrika kusini (pritoria).

Ziko hisia kuwa anamfuatilia Ulimboka alikoenda kutibiwa ili aweze kukamilisha kazi aliyopewa na Ikulu

My take: Ulinzi unapaswa kuimarishwa huko ili hawa wanyama toka Chama Cha Mabwepande (CCM) wasifanikiwa kutoa uhai wake.

Ziko taarifa kuwa dr. Ulimboka ameombewa ulinzi ( https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ional-ubalozi-wa-tz-afrika-kusini-wahaha.html ) kama hili lingefanikiwa, ingekuwa bora sana.

Quality

Hapa kidogo umepotoka,SA hakuna haja ya visa ndugu,passport tu ukiwa nayo bendeni unaenda
 
Taarifa zisizo rasmi zimeeleza kuwa yule mtu aliyempigia simu dr. Ulimboka kuja wafanye mazungumzo, na hatimaye kutekwa ameokenana ubalozi wa Afrika kusini akiomba VISA ya kwenda Afrika kusini (pritoria).

Ziko hisia kuwa anamfuatilia Ulimboka alikoenda kutibiwa ili aweze kukamilisha kazi aliyopewa na Ikulu

My take: Ulinzi unapaswa kuimarishwa huko ili hawa wanyama toka Chama Cha Mabwepande (CCM) wasifanikiwa kutoa uhai wake.

Ziko taarifa kuwa dr. Ulimboka ameombewa ulinzi ( https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ional-ubalozi-wa-tz-afrika-kusini-wahaha.html ) kama hili lingefanikiwa, ingekuwa bora sana.

Quality

Inaonekana wewe una chuki binafsi na CCM. Viongozi wenu wanadai ni usalama wa taifa sasa usalama wa taifa na CCM wapi na wapi? Mazingira yanaonesha CDM inahusika ili iichafue serikali na Usalama wa Taifa. Haiwezekani ktk bajeti zao waishutumu idara ya usalama kabla hata tukio la Ulimboka halijatokea ina maana bajeti zao zimeandaliwa juzi juzi tu? Hawa walijua kila kitu kuanzia kupanga migomo mpaka kumtesa ulimboka kwa kutumia watu wao waliopandikiza ktk usalama.

Viongozi wenu walishadai wana watu wao usalama wanaowapa habari za serikali bila shaka hawa ndio waliotumika kwa Ulimboka kwa sababu wametumwa na watu ambao hawana utaalamu wa kutesa watu wao ni wanasiasa. Ushahidi wa ulimboka mwenyewe unadai kuwa walikuwa wanashauriana wampige sindano ya sumu, risasi mwisho wakapatana wamgonge na gari. hapo utaona hawa hawakutumwa na idara ya usalama wa Taifa maana kama iliwatuma wangejua wanatakiwa kufanya nini na nini wameambiiwa wafanye na sio wao wenyewe kushauriana cha kufanya.

Msiipake matope idara ya usalama wa taifa maana imetukuka na inafanya kazi na serikali yoyote iwe ni ya CCM au CDM
 
Taarifa zisizo rasmi zimeeleza kuwa yule mtu aliyempigia simu dr. Ulimboka kuja wafanye mazungumzo, na hatimaye kutekwa ameokenana ubalozi wa Afrika kusini akiomba VISA ya kwenda Afrika kusini (pritoria).

Ziko hisia kuwa anamfuatilia Ulimboka alikoenda kutibiwa ili aweze kukamilisha kazi aliyopewa na Ikulu

My take: Ulinzi unapaswa kuimarishwa huko ili hawa wanyama toka Chama Cha Mabwepande (CCM) wasifanikiwa kutoa uhai wake.

Ziko taarifa kuwa dr. Ulimboka ameombewa ulinzi ( https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ional-ubalozi-wa-tz-afrika-kusini-wahaha.html ) kama hili lingefanikiwa, ingekuwa bora sana.

Quality

Huu sio ukweli, Mtanzania hahitaji VISA kwenda Afrika ya Kusini kwa sasa, ilifutwa.
 
Back
Top Bottom