4yrs later: Websites zenyewe zilishakufa,,, CHADEMA wanaliibua hili!
:confused2:
Ati mzee wa meno na humu yumo?
Huu Udaku sasa unahamia kwetu watu wa JF maana hata Google wanatukataa na hiyo www,artumas.tv hamna cha Kinana wala AbdulhamanMpigie simu JK umwulize kama huu UDAKU we Fair Player unajuwa kabisa hii habari ni nzito na ina UHUSIANO NA MKAPA,CHENGE,KINANA,VITA YA COMMORO,TANESCO,RICHOMOND NA KILA KITU!
Aisee! CCM wanatishaaa! ndiyo maana Kinana ni katibu sasa..yatawadodea.
Kaka nchi haina mwenyewe.
Leokweli,
Sasa nimemuona Kinana pamoja na MP. wa Masasi Bw. Marope. Kama na Kinana naye yumo kwenye hizi biashara za kuuza nchi, basi tumekwisha.
Hivi ni kwa nini hizi kampuni zinazosema zina-invest TZ zote zinaweka watu wenye nguvu sana ndani ya CCM kuwa ni maDirector wao? Wana nia gani wanapofanya hivyo? Hivi huko ndio kuajiri wazawa au ni kununua influence?
Ni kweli mkuu,niliona hoja ya chadema kuhusu ARTUMAS na Kinana,kiukweli ilianzia hapa JF.