Kiltex, sungura tex,urafiki, emko soap, philips,general tyre
kama hivi viwanda vingekuwepo mpaka sasa hivi, tanzania ingekuwa wapi
jamani uzalendo umeisha? Ubinafsi umetawala
jamani ni ufisadi au kansa?
Jamani watanzania kila mfanyakazi aibe??? Vizazi vijavyo watapata nini?
Wakurugenzi, wajumbe wa bodi, mwenyekiti wa bodi
kama hivi viwanda vingekuwepo mpaka sasa hivi, tanzania ingekuwa wapi
jamani uzalendo umeisha? Ubinafsi umetawala
jamani ni ufisadi au kansa?
Jamani watanzania kila mfanyakazi aibe??? Vizazi vijavyo watapata nini?
Wakurugenzi, wajumbe wa bodi, mwenyekiti wa bodi