Abakwa mpaka kufa!

Alisema akiwa njiani, alikutana na kundi la watu wanaosadikiwa kuwa ni wahalifu ambao walimkamata kwa nguvu na kisha kumfunga mdomo na kumfanyia kitendo hicho cha kinyama.

Kwa nini wanasadikiwa kuwa ni wahalifu?

Ninachoombea ni kuwa marehemu awe aliathirika ( mungu ailaza roho yake mahali pema peponi) maana sidhani kama hawa wanyama walitumia kinga!
 
Mleta mada tafadhali rudisha kichwa cha habari sahihi kilichotumiwa kwenye gazeti la NIPASHE LA IPPMedia: Msichana abakwa hadi kufa.

.

Hivi kubakwa maana yake nini hasa? nijuavyo ni mwingiliano wa kinguvu kati ya jinsia moja na nyingine!, Katika kubakwa huku kunaendana na kukabwa, kuwekwa matambara mdomoni n.k

Hivyo naona hata hii title unayosema hiko sahihi, bado ina walakini.....Alibakwa ,matambara mdomoni, au kukabwa ndicho kilichosababisha kifo!

All in all tujadili how to solve the issues, maswala ya lugha siku zote ni matatanishi


Waberoya
 
yote ni "Moral corruption". Yani mababa mazima yanakaa kumsubiri binti na kumbaka mpaka kumuua. Yani hata hawafikiri kuwa unapombaka mtu, huyo ni mtoto, dada, shangazi, mama wa mwenzako. Nadhani kichwa cha habari kinajitosheleza, kubakwa kunaweza kusababisha kifo hata kama mtu hajawekewa matambara. Tukumbuke tendo la ndoa linahitaji hisia ili liweze kufanyika, sasa mtu akibakwa hajajiandaa kwa hilo tendo hupata madhara makubwa sana sehemu zake nyeti, pia kuna mshtuko pamoja na ule mfadhaiko, vyote hivyo vyaweza sababisha kifo. Sasa na matambala juu, kweli kizazi kinapotea.
 
yani watu kama hawa inabidi wawaachie wanainchi wawashughulikie maana hata wakienda mahakamani wanachances kubwa ya kununua sheria ... laiti sheria ingekuwa mikononi mwangu basi siku ya kukamatwa kwao ndio sikuyao ya mwisho kuona jua
 
Kwa vile tuna mashine ya DNA siku hizi, ni muhimu ianzishwe data bank ya DNA ili kwenye tukio kama hili, DNA zozote atakazokuwa nazo huyu marehemu zihifadhiwe ili zisaidie uchunguzi.

Inaweza isiwe hivi sasa lakini hapo baadaye wahusika wanaweza wakakamatwa. Hii pia itakuwa ni kizuizi kizuri kwa watakaotaka kufanya unyama kama huu hapo mbeleni.

Tena data bank hiyo ichukuliwe kimya kimya bila watu kushitukia ili almost wote tuwe katika DNA Bank. Bila shaka nchi hii watu wangeogopa kutenda maovu kiasi hiki. Siamini kama kweli Tanzania ni nchi ya amani, kivipi???
 
kweli kifo cha huyo dada wa majengo kwa mtei kimeniuma sana kwani namjua sana huyo dada alikuwa hana story na mtu kabisa zaidi ya salamu basi na kuingia kazini na huyo dada alikuwa ni yatima analea wadogo zake sasa wamemuua wadogo zake watalelewa na nani?? yaani inasikitisha sana Mungu anawaona waliofanya kitende hicho cha ukatili na adhabu yao ni Mungu ndiyo anayeijua. Roho ya marehemu ilale mahali pema Amina.
 
yani watu kama hawa inabidi wawaachie wanainchi wawashughulikie maana hata wakienda mahakamani wanachances kubwa ya kununua sheria ... laiti sheria ingekuwa mikononi mwangu basi siku ya kukamatwa kwao ndio sikuyao ya mwisho kuona jua

Jungle Justcie...Like the ones in Kisumu, Kenya. A known thief was released from custody, akarudia kuibia watu tena, Wanainchi took the law into their own hands and stoned the man to death. The thief was sure ya kwamba even aki pelekwa remand, ata wa nunua wana sheria. Kwahiyo wanaicnhi waka amua kuifanyia polisi kazi yake.

Justice in Africa as a whole is only for rich pple. Mara itakuwa lack of evidence, meanwhile pesa will change hands and then...no case.
Hao wabakaiji wakishikwa wote wawe castrated.

Every suspect deserves a day in court, yes, but this can only happen when the sytem works. In places where the system is partial to money aka Rich ppl, Justice for the common man is a dream.
 
Kitendo cha huyu dada kubakwa ni kitendo cha kihuni? Inawezekana kuna sababu tosha za kijana huyu kubakwa? Je kama alikula vya watu kuna justification ya kumpa adhabu hiyo aliyopewa?
 
Back
Top Bottom