Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
HahahahahahahaaaaHhahaaaaaaa Erickb52 bahati mbaya au nzuri mie sina chama, naona siasa kama mchezo mchafu tu, wachache wananeemesha matumbo yao kupitia wanachama..........
Halafu huyo mwenyewe Mphamvu kuna kipindi avatal yake ilikuwa ya jembe na nyundo....nashangaa leo kakugeuka amakucheka wewe.....teh the
Ila BADILI TABIA inabidi uwe na chama sasa
Last edited by a moderator: