Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa huwezi kuelewa hapo labda kesho ukiipitia hii thread kwa makini lol
Hahahahaaaa
Sawa dogo namimi ngoja nikalale ila nangoja kidogo kuwakaribisha wageni kama wapogambachovu na Erickb52 naomba msinitingishe.....sssshhhhhh...nalala!..nite!
Hahahaaaa
Ila akienda kuishi Pemba ile safari ya kwenda kuitafuta ndovu lazma atachoka na hamu itakuwa inamuisha haraka na ipo siku atajikuta kawa Mchungaji
Dogo yuko nduki ila sio sana kama janaVipi ulivyompima... Yuko mitungi nini!
Haaaaa unacheza na ile kitu na yale mawimbi?
na wewe bana...tatizo zenj imekuharibu...huko nyuma hukua ivo...sijui nani anakutia kichwa siku hizi...sa hujui ETINA ww?...maeneo kama unaenda BULLS savei...university road!...ila bia 2500tsh..usije na hela zako za mawazo...lol
Waarabu wa pemba nyie na nitahakikisha mnaachana na zile bia za manzese
Hapo utata ni pale unaorudisha chenji....lo ukimaliza lazma upoteze mazima....unaweza kujikuta uko Mnazi mmoja hospitalWaweza tapika fasta!
Haya gambachovu, ngoja nipotezee.
Nafunika kombe mwanaharamu apite...
Hizihizo sema umesahau bananaZipi hizo... Mnazi? Au Kibuku...
Hahahahaaa bora ufunike maana itakuwa nomaHaya gambachovu, ngoja nipotezee.
Nafunika kombe mwanaharamu apite...
gambachovu na Erickb52 naomba msinitingishe.....sssshhhhhh...nalala!..nite!
Hizihizo sema umesahau banana
Dogo yuko nduki ila sio sana kama jana
Hahahahahaaaa mwache dogo alale...ukiamka asubuhi saa 12 utamkuta keshaamka tayari anapitiapitia thread za leoUko tungi mbaya.. Kama vipi,sokomeza dole kooni... Upunguze kilevi...
Hapo utata ni pale unaorudisha chenji....lo ukimaliza lazma upoteze mazima....unaweza kujikuta uko Mnazi mmoja hospital
Hahahahahaaaaa we ni mtaalamu aisee hivi mbege nayo ni ya kiwandani?Wakuu mbona always mnachanganya?
Kibuku na Banana ni pombe za kiwandani bana, huezi zichanganya na hizo treemade na homemade.
Tena kama Kibuku mnawaunderestimate kabisa, maana wanalipa kodi kubwa kuliko Barrick, chondechonde wakuu.