gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Ni ka-pub kazuri ka kupumzikia na kungojea foleni ipungue...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
iko wapi?
Wapi? Pemba au ?
Mzima Gee Cee?
Dar... Karibu na Chagga Bite zamani.. Kituo cha basi cha Makumbusho! Njia ya kwenda Mwenge..
Hahahahahaaaaa kule nomaaaa kakaNiko poa mkuu Erickb52 ...
Nimemfahamisha mkuu BADILI TABIA hapo juu...
Kipi kichokufanya upeleke mawazo kuwa hiyo iko Pemba? JF bana!
Hahahahahaaaaa kule nomaaaa kaka
Hakuna maeneo kama hayo ndio nikadhani wamefanikiwa kupata walau hiyo moja
Kule ukitaka kushtua kidogo unaenda kambi ya Jeshi ndio kuna vindovu na Vicastle Lite.....
Teh
...................View attachment 53257..........................
Hahahahahaaa labda niwakilishwe na BAGAH ingawa akija hapo kutoka itakuwa kesho mchana tena kwa kubebwa hahahahaaaaaa gambachovu unaenjoy na mei 2 eeeeeh?
Dah Kule jamaa wanafuata maadili ila kwenye ile kitu wanashtua kama kawaida ila kwa Bia na Kitimoto ndio haramuPemba "sijaendaga".. Ila Zenj.. Nimeishi kabisa.. Bia bei mbaya kama nini!
hamna kitu pale zaidi ya yshabiki tu
Hahahahahaaaa huko sio Duniani?ok, we pumzika huku ukipunguza wallet yako....
Mie nipo kijijini huku, baridi halielezeki, natetemeka hadi utumbo........
Hahahahahaaa labda niwakilishwe na BAGAH ingawa akija hapo kutoka itakuwa kesho mchana tena kwa kubebwa hahahahaaaaaa gambachovu unaenjoy na mei 2 eeeeeh?
Dah Kule jamaa wanafuata maadili ila kwenye ile kitu wanashtua kama kawaida ila kwa Bia na Kitimoto ndio haramu
Lol wajanja sana
gambachovu Pemba nilienda mwaka jana mwishoni....Ni pazuri sana kwa mazingira ila kwa sisi wazurulaji hapatufai kabisaaaaaaa
gambachovu napafahamu Zenj pia coz nilienda Pemba kutokea huko lolUtakuwa ulienda kwa shughuli maalum.. Vp usipafahamu zenj?