Aah: Simba Kapakatwa jamani... !!

Dar... Karibu na Chagga Bite zamani.. Kituo cha basi cha Makumbusho! Njia ya kwenda Mwenge..

ok, we pumzika huku ukipunguza wallet yako....
Mie nipo kijijini huku, baridi halielezeki, natetemeka hadi utumbo........
 
Niko poa mkuu Erickb52 ...

Nimemfahamisha mkuu BADILI TABIA hapo juu...

Kipi kichokufanya upeleke mawazo kuwa hiyo iko Pemba? JF bana!
Hahahahahaaaaa kule nomaaaa kaka
Hakuna maeneo kama hayo ndio nikadhani wamefanikiwa kupata walau hiyo moja
Kule ukitaka kushtua kidogo unaenda kambi ya Jeshi ndio kuna vindovu na Vicastle Lite.....
Teh
................... Picture206.jpg ..........................
 
Hahahahahaaaaa kule nomaaaa kaka
Hakuna maeneo kama hayo ndio nikadhani wamefanikiwa kupata walau hiyo moja
Kule ukitaka kushtua kidogo unaenda kambi ya Jeshi ndio kuna vindovu na Vicastle Lite.....
Teh
...................View attachment 53257..........................

Pemba "sijaendaga".. Ila Zenj.. Nimeishi kabisa.. Bia bei mbaya kama nini!
 
Pemba "sijaendaga".. Ila Zenj.. Nimeishi kabisa.. Bia bei mbaya kama nini!
Dah Kule jamaa wanafuata maadili ila kwenye ile kitu wanashtua kama kawaida ila kwa Bia na Kitimoto ndio haramu
Lol wajanja sana
 
gambachovu Pemba nilienda mwaka jana mwishoni....Ni pazuri sana kwa mazingira ila kwa sisi wazurulaji hapatufai kabisaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
ok, we pumzika huku ukipunguza wallet yako....
Mie nipo kijijini huku, baridi halielezeki, natetemeka hadi utumbo........
Hahahahahaaaa huko sio Duniani?
Pole sana ni wapi huko?
Tukuyu? Lol kule ndio mwisho wa baridi TZ
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom