Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
...Huenda jamaa ni msukuma si unajua wanaweza kupanda dau kwa demu mweupe mpaka basi.....:becky::becky::becky::smile-big:Hamna kitu hapa au weupe ndo unakuzingua?
Mbona mimi sioni lolote; nini hasa hicho kimini au tatoo kwenye kisigino? Jamani hata usafiri hautoshi!!. Lakini nisiseme saaaaaaaana maana tunatofautiana katika vionjo.Kweli mdada ametulia picha saaafi kabisa
Hamna kitu hapa au weupe ndo unakuzingua?
Katy Perry hamna kitu hapo. Hata Snoop Dogg alikataa kupima oil.
Hebo ona vitu vya uhakika.......