- Thread starter
- #21
Tumeshinda kesi ya ubunge Igunga, wamekataaaa
nimeanza kuzoea raha za ubunge,,,,,,,,mahakama IMEKATAAAAAAA,BORA NIRUDI KWENYE TAALUMA YANGU YA MADINI
Tumeshinda kesi ya ubunge Igunga, wamekataaaa
hivi kwani humu jamvini hakuna msanii, mbona hi track inaonekana kali sana ikiandikiwa mstari ya kutosha..... ahahahahahah
kwi kwi kwii, wamekataa pia
Tumekataa piaUjinga mtupu hii thread haichekishi..thread closed!!