Az 89
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 1,658
- 691
Jamani Jana nilikuwa safarini kwa Basi dogo, natoka Rufiji kuja Dar es salaam, njiani maeneo ya porini alipanda mzee mmoja ambae ni mwanakijiji wa eneo hilo..alipopanda na kuona viti vya Costa vimechakaa akasita na kusema "AAH! VITI VIMECHAKAA KAMA CHAMA CHA MAPINDUZI" Kweli CCM Imekosa mwelekeo hata porini huko wanaelewa siku hizi.. NAWASILISHA.