kwahiyo jf wote warembo? Ngoja hawa wenye videvu na ndevu zao na vigimbi waje wakusikie.nasikia usingizi jamani, nataka lala pia. So usiku mwema warembo!
kwahiyo jf wote warembo? Ngoja hawa wenye videvu na ndevu zao na vigimbi waje wakusikie.
hivyo eeh! Hebu atupe viwembe na sindano tulinde sredi.Husny mimi nimempata saana, ina maana hana interest kidume aingie humu kumuaga....lol
hivyo eeh! Hebu atupe viwembe na sindano tulinde sredi.
hehehehe! Unyororo wa sauti za keypad nahisi.ha ha ha na hizi Avatars Je... wengine wana Avatar za kike but vidume na vice versa... naona atakua anapima unyororo wa sauti..
hehehehe! Unyororo wa sauti za keypad nahisi.
Sasa mtoto wa kiume unapokuwa na kauli kama hizo je ni salama au lawama?nasikia usingizi jamani, nataka lala pia. So usiku mwema warembo!aaah! mimi nalala bwana, usiku mwema!
Sasa mtoto wa kiume unapokuwa na kauli kama hizo je ni salama au lawama?