Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
Ni handsome wa ukweli ,msomi na ana kazi nzuri tu Lakini sijajua nia na lengo lake kwa kina dada .(kuwakanyagisha miwaya or?
Kanunua engagement ring nzuri sana na ya thamani kubwa .........
Tabia zake ni hizi....
Anafanya uchunguzi wapi kuna msichana mrembo mwenye sifa zote na mwenye kazi nzuri au biashara ambaye si tegemezi ,anamvika pete na Kuhamia kwa mwanamke
Akimchoka tu anaanzisha visa na anamnyang'anya Pete G/F na kuanza harakati zake za kutafuta mwingine , imekuwa ni kawaida na tabia yake!
...............i???
Based on true story !
Nani wa kulaumiwa? Nawaasa wadada waache tamaa ikiwa ni pamoja na FirstLady1! mmeona ni jinsi mtoa hoja alivyo na mtazamo wa tamaa (matamaniao ya kimwili na si kiroho) ambapo kwa ukweli kabisa amewakilisha wakina dada wengi. Hapo kwenye bold kama ndicho cha kwanza wadada mtaendelea kuangalia basi hata mtajiwe jina la huyo mhusika hapa JF au popote pale bado atawapata tu.... na kama ni mgonjwa itaendelea kula kwenu.
Ushauri ni kwamba jaribu kutafuta/kuona upendo wa mtu badala ya kuwa materiarists tu (ingawaje kwa nature wanawake like 90% ni materialists). Jaribuni kubalance sana swala na mali na upendo! si mara zote yanaweza kuwa pamoja yaani mwenye upendo wa kweli na mali. Nawashauri mzingatie upendo kwanza mali, elimu vinatafuta/huendelezwa. Good morning