Please.....sio wote!!!Duuu hili limtu lishindwe na lilegee!! Sijui kwa nini hawa wanaume wamegeuka wanyama hivi. Duuu kama unasoma hapa uache tabia yako, hakuna marefu yasiokuwa na ncha!! Jicho la Mungu linakuona na kuna siku utaipata freshi.
Mungu tulinde watoto wako wa kike!! Manake daa!!
mh!hii story inachefua!huyu mwanaume ni mchafuzi na ana sifa za kijinga
Ha haaaa!! Huyu jamaa ni noma i hp ana PEPO.
Vipi una uhakika ni the same PETE anayowavisha hao wadada??!!
Hapo hakuna protection.....WiseLady mie ishanichosha najiuliza hivi huyu mgonjwa ,,kila mwanamke mnakaa pamoja jamaa linakumbuka hata protection kweli???
Please.....sio wote!!!
Dah ameshakua mwenzetu tena?
Mama mkwe hivi yukoje huyo mwanaume asije akamnasa kipipimoyo wanguha ha ha Kimey sorry ,ni hacra tu juu ya hili guberi
Ni kweli Eng.Smasher mkigombana atahakikisha na pete yake umerudisha na ugomvi wake mkubwa lazima umkamate na kadate kengine ,kwa hasira hata pete utamtupia ,ama atakuomba nirudishie na ka pete kangu:wink2:
Jamani jaribuni kumuundia tume huyo ana lake jambo.hv uchumba unamaana mpaka mduu?co ukichumbiwa hakuna kufanya mpaka mhalalishe ndoa?na vp ka mkiweka mcmamo wa kutotoa tundi inakuaje?Acha tu mwenzangu Preta, mara wanyonge/waue mara wabake mara hivi na vile. Aaaaaaaaaah!!!!! Twende likizo ya kupenda wadada!!
Mkuu wakiona fulani kaolewa halafu yeye miaka inaenda halafu dalili hazionekani akitokea jamaa halafu akaingia na gia ya kuvalisha pete ya uchumba na akafanya hivyo halafu wakachakachuana jamaa akimaliza shida yake anaanzisha ugomvi halafu anamnyang'anya pete huyo anasepaI hope anachagua kina dada wenye vidole vinavyolingana pia........
Ila nyie ladies msikimbilie sana hizi ndoa.....mnakimbia hadi mnasahau mnakoenda....
:A S-devil4:Huenda yupo humu ndani......
kweli hili ni janga Mfamaji ila sijaielewa akili ya huyu jamaa naona elimu yake haimsaidiiHajakosea kitu . Ni mdato wa akina dada tu .hawateki taimu kuchunguza mtu ali mradi kaja na gia ya kuoa. Akina dada msijirasishe kutapeliwa maana matapeli wapo tu .
:rain::rain:Hapo hakuna protection.....
Hebu tuambie yukoje watoto wetu wasijeingia matatani bana
Kama ni mtu ambaye yoku JF, I can Guess who is he... lol
I hope anachagua kina dada wenye vidole vinavyolingana pia........
Ila nyie ladies msikimbilie sana hizi ndoa.....mnakimbia hadi mnasahau mnakoenda....
Aiseeeee!!!!!!!!!!!:A S-devil4:
kweli hili ni janga Mfamaji ila sijaielewa akili ya huyu jamaa naona elimu yake haimsaidii
:rain::rain:
DA mishakwambia ni Bonge la HB sijui kama kina dada wanazimika na U HB wake or?
Kisha yuko na ile sura ya upole yaani akiwa anaongea utadhani Sijui ndo Malaika kashuka toka mbiguni
Na ile Physical appearance ni mkimya sana kumbe anatunga sheria zake chafu
Hahaha Wewe ukikutana nae angalia mambo haya