FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Ni handsome wa ukweli ,msomi na ana kazi nzuri tu Lakini sijajua nia na lengo lake kwa kina dada .(kuwakanyagisha miwaya or?
Kanunua engagement ring nzuri sana na ya thamani kubwa .........
Tabia zake ni hizi....
Anafanya uchunguzi wapi kuna msichana mrembo mwenye sifa zote na mwenye kazi nzuri au biashara ambaye si tegemezi ,anamvika pete na Kuhamia kwa mwanamke
Akimchoka tu anaanzisha visa na anamnyang'anya Pete G/F na kuanza harakati zake za kutafuta mwingine , imekuwa ni kawaida na tabia yake!
Hii Pete yake imeshavaliwa na kina dada wengi mwisho wao ni kuachwa .
Kina dada please tuweni makini na baadhi ya wanaume wa aina hii ,anakuja kwako anajifanya anakupenda anachanganyikiwa akidanganya bila ww anaona kama mshale wa maisha yake umestop
kumbe moyoni ana jambo zito amepanga juu yako .
asije kuingia JF :hand:
Na nyie mabinamu huyu mwenzenu ana pepo gani???
Based on true story !
Kanunua engagement ring nzuri sana na ya thamani kubwa .........
Tabia zake ni hizi....
Anafanya uchunguzi wapi kuna msichana mrembo mwenye sifa zote na mwenye kazi nzuri au biashara ambaye si tegemezi ,anamvika pete na Kuhamia kwa mwanamke
Akimchoka tu anaanzisha visa na anamnyang'anya Pete G/F na kuanza harakati zake za kutafuta mwingine , imekuwa ni kawaida na tabia yake!
Hii Pete yake imeshavaliwa na kina dada wengi mwisho wao ni kuachwa .
Kina dada please tuweni makini na baadhi ya wanaume wa aina hii ,anakuja kwako anajifanya anakupenda anachanganyikiwa akidanganya bila ww anaona kama mshale wa maisha yake umestop
kumbe moyoni ana jambo zito amepanga juu yako .
asije kuingia JF :hand:
Na nyie mabinamu huyu mwenzenu ana pepo gani???
Based on true story !