Duh, muhimu sana mototochini, before it's too late,
Hapo kwenye red nimepapenda zaidi hata ya architecture wenyewe. Kwani kabla ya hii ni nani alikuwa anaruhusiwa kuingia hizo higher education na ni nini kilitokea ...'kuongeza ukubwa wa magoli'!?University of Dodoma is a public institution built recently.
The institution allowed more secondary school leavers to join higher education, as well as shrinking the shortage of teachers & other professionals in the country..
Hapa tazama ubunifu wa majengo,
Hapo kwenye red nimepapenda zaidi hata ya architecture wenyewe. Kwani kabla ya hii ni nani alikuwa anaruhusiwa kuingia hizo higher education na ni nini kilitokea ...'kuongeza ukubwa wa magoli'!?
Apa maeneo gani mhuuThe upcoming financial and high tech district Dar Es Salaam
Linaitwaje na linajengwa wapi??40 Storey Tower for Dar es Salaam
Maeneo ya morocco, na Victoria MakumbushoApa maeneo gani mhuu
Mwache amekariliNaona hukupenda kuona mazuri ya Dar
lazima ujue kuwa
BRT ina majengo yake
Yaani vituo
Huwezi kupost vituo vya BRT ukaacha Mabasi hayo.
Kilimanjaro ferry ina vituo ambavyo ni majengo
Vilevile huwezi kupost Kilimanjaro ferry bila boats zake
Kwakuwa thread sijaanzisha mie
Wacha nikuachie wewe upost
Ajabu hujapost hata kimoja zaidi ya Kubwabwaja kana kwamba Unahisa JF
Hili kaka linajengwa IlalaLinaitwaje na linajengwa wapi??
Wameishiwa majengo, hivyo hawana vya kupost!....... Achana naoBack off and shut that stupid mouth of yours,
Motochini twende kazi boss wangu..