Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Tanzania the time has come. A time of awakening. This is the time to think the unthinkable. A time to imagine the imaginable. The time to invent and reinvent, create and recreate, construct and reconstruct. It is the time of the Tanzanian Renaissance.
Tanzania wakati ndio huu. Ni wakati wa mwamko. Huu ni wakati wa kufikiri kisichofikirika. Ndio wakati wa kuwaza kisichowazika. Ni wakati za kubuni na kubuni tena, kuumba na kuumba tena, kujenga na kujenga tena. Huu ni wakati wa Mwamko wa Kitanzania.
But, we may ask ourselves, how can we do the undoable?
Lakini, tunaweza kujiuliza, je tutafanyaje kile kisichofanyika?
Yes we can - only if we believe change is part and parcel of who we are!
Ndio tunaweza - kama tu tutaamini mabadiliko ni sehemu ya vile tulivyo!
Tanzania wakati ndio huu. Ni wakati wa mwamko. Huu ni wakati wa kufikiri kisichofikirika. Ndio wakati wa kuwaza kisichowazika. Ni wakati za kubuni na kubuni tena, kuumba na kuumba tena, kujenga na kujenga tena. Huu ni wakati wa Mwamko wa Kitanzania.
But, we may ask ourselves, how can we do the undoable?
Lakini, tunaweza kujiuliza, je tutafanyaje kile kisichofanyika?
Yes we can - only if we believe change is part and parcel of who we are!
Ndio tunaweza - kama tu tutaamini mabadiliko ni sehemu ya vile tulivyo!